tanganyika yetu
Member
- Nov 23, 2011
- 45
- 17
Wakati tume ya uchaguzi ikiendelea kutangaza matokeo ya urais kupitia mgombea wenu mlisema kura zinazotangazwa na tume siyo sahihi, kuna uchakachuaji hivyo hamtakubaliana na kinachofanywa na tume, tume iliendelea na kazi yake na mwishoni ikatangaza mshindi.
Kuanzia mshindi wa uraisi atangazwe hadi leo mmekaa kimya; tuwaeleweje ili hali mlisema mmeibiwa kura? kama mna uhakika na ushahidi wa madai yenu kwanini hamjajitokeza hadharani na kuwaambia watanzania ukweli?
UKAWA HATUWAELEWI MNATUPA MASHAKA !
Kuanzia mshindi wa uraisi atangazwe hadi leo mmekaa kimya; tuwaeleweje ili hali mlisema mmeibiwa kura? kama mna uhakika na ushahidi wa madai yenu kwanini hamjajitokeza hadharani na kuwaambia watanzania ukweli?
UKAWA HATUWAELEWI MNATUPA MASHAKA !