UKAWA haina uwezo wa kuongoza nchi

UKAWA haina uwezo wa kuongoza nchi

Ndugu yangu Mtanzania mwenzangu, nakushauri usipoteze muda kuwafuata watu wasiokua na uwezo wa kukuongoza wewe.

Ukiaribu kufanya hivyo unapoteza nafasi ya kupata uhakika wa kupata maendeleo na uhuru wa kufanya mambo yako kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Mkiwachagua, amini kabisa kwamba kutatokea na mgongano mkubwa wa madaraka baina ya wageni katika ukawa na wale waasisi, kila mtu atataka kuweka mtu wake ili afanye nae kazi au alinde maslahi yake.

Kuna uwezekano mkubwa wa serikali kushindwa kuundwa Ukawa kusambaratika, wananchi tukaachwa hatuna lakufanya.

Kwanini kuishi huku tukiwazia kesho yetu chini ya wasio jipanga UKAWA.

CCM ipotayari kukuhakikishia wewe na familia yako uhakika.

Chagua CCM achana na wasiwasi wa UKAWA.

2na uhakika na ukawa ww kama hauna uhakika nao 2lia na ccm yako na uongo wao wa kila cku mm nimexhakua hizo xera zako kawadanganye ambao hawajaxoma hata daraxa moja atakuelewa
 
Ndugu yangu Mtanzania mwenzangu, nakushauri usipoteze muda kuwafuata watu wasiokua na uwezo wa kukuongoza wewe.

Ukiaribu kufanya hivyo unapoteza nafasi ya kupata uhakika wa kupata maendeleo na uhuru wa kufanya mambo yako kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Mkiwachagua, amini kabisa kwamba kutatokea na mgongano mkubwa wa madaraka baina ya wageni katika ukawa na wale waasisi, kila mtu atataka kuweka mtu wake ili afanye nae kazi au alinde maslahi yake.

Kuna uwezekano mkubwa wa serikali kushindwa kuundwa Ukawa kusambaratika, wananchi tukaachwa hatuna lakufanya.

Kwanini kuishi huku tukiwazia kesho yetu chini ya wasio jipanga UKAWA.

CCM ipotayari kukuhakikishia wewe na familia yako uhakika.

Chagua CCM achana na wasiwasi wa UKAWA.

CCM ndo haina uwezo kabisa kwa taarifa yako. Na haina hatimiliki ya kuongoza nchi.
Chaguweni UKAWA ndo mpango mzima na ndo ukombozi wapili wa nchi kutoka kwa mkoloni mweusi ccm.
Propaganda zenu tulisha zizoea tangu 2005, mulipotuaminisha kuhusu JK. Kwasa twawa puuzia mno muta choka na kwa taarifa yako watanzania wameelimika hawadanganyiki tena. Lowassa kiboko yenu! Peoplessssss, Powererrrrrrrrrrrr! Mwaka wenu huu kukaa pembeni kwa amani kwasababu wameamua wenye nchi.
 
Back
Top Bottom