So what is your solution? Kupigia kura CCM tena? You fail to understand that tatizo ni mfumo mzima sio individual candidate. You should know better than what you wrote.
Kama unasema mfumo lazima ufahamu mfumo huanzia juu mpaka chini sasa juu yupo nani na nafasi yake ni nini na nguvu yake ya maamuzi ni ipi ni raisi mfumo upi ni bora katika uadilifu wa lowasa au magufuli rejelea mfumo huanzia juu ss juu Kuna mtu mchafu obvious ataafect hadi chini juzi tu utajiri wa mtoto wa lowasa unakuwa questioned uingereza unatisha tunataka muadilifu kingine nani aliezungumzia kuanzishwa kwa mahakama za mafisadi mbona lowasa hawezi kusema hayoo