Na MwanaJamii
02:41
Kama magufuli ni muadilifu Lowassa sio muadilifu
Kama magufuli anakemea wala rushwa lowasa hakemei wala rushwa
Unaposema bora mchafu mmoja katika kundi la wasafi kuliko msafi mmoja katika kundi la wachafu usisahau kukumbuka kuwa huyo msafi au mchafu yupo katika nafasi gani na uwezo wake na maamuzi yake na mipaka yake na matarajio yake na uwezo wake
HOJA NI KWAMBA
Mchafu mmoja anachafua kundi lote kwasababu yeye ndio kiongozi top na mfano wa kuigwa na kutokana na uchafu wake hawezi kuwanyooshea vidole wachafu wenzake NA msafi mmoja anaweza kusafisha kundi lote kwakuwa yeye Ana mamlaka na uwezo huo
Nafasi inayotafutwa ni ya Urais ambaye ndie amiri jeshi mkuu na mwenye uwezo na mamlaka ya kufagia nyumba sasa umeona wapi mchafu aanze kuwasafisha wenzake wakati yeye ni mchafu
TAFAKARI CHUKUA HATUA
MAGUFULI NI muadilifu kuliko lowasa
#TunzaKichinjioChakoSubiri25OktobaUchinjeLowasa
Wanaanzaje kukemea rushwa wakati wao ndio amebeba watu wenyen kashfa za rushwa?
Wanaanzaje kukemea rushwa wakati wao ndio amebeba watu wenyen kashfa za rushwa?
Swala si ahadi tumeahidiwa miaka 53 na hakuna kinachotekelezeka kwa mfano Maisha bora kwa kila Mtanzania mpaka sasa wananchi wengi wanaokota makopa na kula Unga.
Katiba yetu ilipigwa teke na Samia Suluu sasa kweli anaweza kubadili katiba?
Hatuwezi kuishi kwa maneno!....Mwl alisema ..mtu AKITHIBITIKA MAHAKAMANI kwamba kala rushwa.......hatuwezi kuwa nchi ya tuhuma za kimbea tuuuu....dola mnayo kwanini msimshataki huyo mnayemuita fisadi?....tutaishi kwa propaganda mpaka lini?Huwezi kuokoa kwa Jirani wakati kwako kunaungua Fisadi hawezi kumkemea Fisadi
Why should that matter?...its history already..ni kama kusema mnafahamu Lowassa alikuwa CCM?...hiyo haitusaidii na haina mashiko kwa watu wanaofikiri kwa kutumia ubongo!...what matters ni anachosimamia kwa sasa....KUREJESHWA KWA KATIBA MPYA ile ya wananchi na sio hiyo ya CCM bcoz hayupo ccm tena kwa sasa!Unajua lichokifanya na alichosema Lowassa kama Maoni yake katika katiba mpya na alivyoshinikiza Tume itupilie mbali suala la kupunguziwa madaraka RAISI
Huwezi kuokoa kwa Jirani wakati kwako kunaungua Fisadi hawezi kumkemea Fisadi
Tatizo Kichwa kikubwa akili 0
Swala si ahadi tumeahidiwa miaka 53 na hakuna kinachotekelezeka kwa mfano Maisha bora kwa kila Mtanzania mpaka sasa wananchi wengi wanaokota makopa na kula Unga.
Katiba yetu ilipigwa teke na Samia Suluu sasa kweli anaweza kubadili katiba?
Tatizo Kichwa kikubwa akili 0