Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,734
- 89,341
Haka ni kauzi kakuomba huruma ya kura....kuipa FISIEMU kura ni uwendawazimu!
watanzania tuna shida sana. uzi kama huu unaonesha
1. Tunapenda maneno matupu. maana ccm wanakemea rushwa lakini mgombea mwenza alionekana akitoa hela. ccm inanunua wapinzani kwagharama kubwa.
2.Mwarubaini wa rushwa ni katiba mpya inayozaa taasisi ya kupambana na rushwa yenye meno, polisi na vyombo vya usalama vyenye meno la sivyo ni uasanii tu na ujinga ujinga na kwa hakika watanzania mkichagua tena ccm pamoja na majanga yote waliyosababisha itakua ni ajabu la kumi la dunia.
MAGUFULI SIO MUADILIFU msije kujidanganya bure,na ukumbuke UFISADI NI MFUMO SIO MTU.
Na MwanaJamii
02:41
Kama magufuli ni muadilifu Lowassa sio muadilifu
Kama magufuli anakemea wala rushwa lowasa hakemei wala rushwa
Unaposema bora mchafu mmoja katika kundi la wasafi kuliko msafi mmoja katika kundi la wachafu usisahau kukumbuka kuwa huyo msafi au mchafu yupo katika nafasi gani na uwezo wake na maamuzi yake na mipaka yake na matarajio yake na uwezo wake
HOJA NI KWAMBA
Mchafu mmoja anachafua kundi lote kwasababu yeye ndio kiongozi top na mfano wa kuigwa na kutokana na uchafu wake hawezi kuwanyooshea vidole wachafu wenzake NA msafi mmoja anaweza kusafisha kundi lote kwakuwa yeye Ana mamlaka na uwezo huo
Nafasi inayotafutwa ni ya Urais ambaye ndie amiri jeshi mkuu na mwenye uwezo na mamlaka ya kufagia nyumba sasa umeona wapi mchafu aanze kuwasafisha wenzake wakati yeye ni mchafu
TAFAKARI CHUKUA HATUA
MAGUFULI NI muadilifu kuliko lowasa
#TunzaKichinjioChakoSubiri25OktobaUchinjeLowasa
CCM haina ajenda ya katiba mpya yenye maoni ya wananchi.
Unachoshindwa kujua ni kua tunaenda kuunda serikali ccm hairudi tena madarakani trust me na serikali yetu hitakua na wala rushwa na tutafanya kazi kwa ajili ya wananchi
Na MwanaJamii
02:41
Kama magufuli ni muadilifu Lowassa sio muadilifu
Kama magufuli anakemea wala rushwa lowasa hakemei wala rushwa
Unaposema bora mchafu mmoja katika kundi la wasafi kuliko msafi mmoja katika kundi la wachafu usisahau kukumbuka kuwa huyo msafi au mchafu yupo katika nafasi gani na uwezo wake na maamuzi yake na mipaka yake na matarajio yake na uwezo wake
HOJA NI KWAMBA
Mchafu mmoja anachafua kundi lote kwasababu yeye ndio kiongozi top na mfano wa kuigwa na kutokana na uchafu wake hawezi kuwanyooshea vidole wachafu wenzake NA msafi mmoja anaweza kusafisha kundi lote kwakuwa yeye Ana mamlaka na uwezo huo
Nafasi inayotafutwa ni ya Urais ambaye ndie amiri jeshi mkuu na mwenye uwezo na mamlaka ya kufagia nyumba sasa umeona wapi mchafu aanze kuwasafisha wenzake wakati yeye ni mchafu
TAFAKARI CHUKUA HATUA
MAGUFULI NI muadilifu kuliko lowasa
#TunzaKichinjioChakoSubiri25OktobaUchinjeLowasa
Yaani CCM ni wapumbavu sana...
Rushwa na ufisadi mfanye wenyewe halafu mkae kando kusubiria wapinzani wawakemee...
Sio najiita we kilaza. Ni dr kama unabisha nije nikufanyie DRE.Na wewe unajiita dkt
Maana viroba vmekula uwezo wako wote wa kufikiri
Kutoa msaada n rushwa?
Akili fupi sana
Mnajiandaa kukabidhi nchi lakini? Ninaona bado mnavuta shuka wakati kumekucha!.
Ccm wangelikuwa na agenda ya rushwa wasingeihalalisha na kuwa nguzo kuu ya chama na serikali.
Ni majuha wa ccm pekee wanaweza kukosa haya hata kusema eti ccm ina agenda ya rushwa wakati ndio walioikuza na kuwafikisha hapa walipo.
Wakati rushwa inastawi na kukua na nyinyi kuendelea kuikumbatia hadi kuwa ndiyo msingi wa utu kwenye chama na serikali yenu mlikuwa katika hali ya kuwanga, na sasa mmerudi katika mwili?
Ccm acheni upumbavu, mtuachie nchi yetu tuijenge upya.
Rushwa haipiganwi kwa maneno wakati mnai practice hadi hapa mtandaoni kila kinachoandikwa kinyume na ccm kinafutwa ajli ya rushwa.
Ondoeni wendawazimu wenu. Kabidhini nchi kwa amani, upumbvu wowote hatutaukubali. Eti agenda ya rushwa!. Ccm pumbavu kweli kweli.
Hivi kusimvelea watu namalori kwenye kampeni sio rushwa?kama mgombea unafanya kampeni kwakushawishi watu kwarushwa ukichaguliwa utaweza pambana na rushwa?Na MwanaJamii
02:41
Kama magufuli ni muadilifu Lowassa sio muadilifu
Kama magufuli anakemea wala rushwa lowasa hakemei wala rushwa
Unaposema bora mchafu mmoja katika kundi la wasafi kuliko msafi mmoja katika kundi la wachafu usisahau kukumbuka kuwa huyo msafi au mchafu yupo katika nafasi gani na uwezo wake na maamuzi yake na mipaka yake na matarajio yake na uwezo wake
HOJA NI KWAMBA
Mchafu mmoja anachafua kundi lote kwasababu yeye ndio kiongozi top na mfano wa kuigwa na kutokana na uchafu wake hawezi kuwanyooshea vidole wachafu wenzake NA msafi mmoja anaweza kusafisha kundi lote kwakuwa yeye Ana mamlaka na uwezo huo
Nafasi inayotafutwa ni ya Urais ambaye ndie amiri jeshi mkuu na mwenye uwezo na mamlaka ya kufagia nyumba sasa umeona wapi mchafu aanze kuwasafisha wenzake wakati yeye ni mchafu
TAFAKARI CHUKUA HATUA
MAGUFULI NI muadilifu kuliko lowasa
#TunzaKichinjioChakoSubiri25OktobaUchinjeLowasa
Lowasa hadi kampen zmekaribia kuisha hajakemèa ufisad hata sehem moja!!!!!
Siwez kupoteza nguvu kupigia kura zee jambaz kama lowasa.
Kama unasema mfumo lazima ufahamu mfumo huanzia juu mpaka chini sasa juu yupo nani na nafasi yake ni nini na nguvu yake ya maamuzi ni ipi ni raisi mfumo upi ni bora katika uadilifu wa lowasa au magufuli rejelea mfumo huanzia juu ss juu Kuna mtu mchafu obvious ataafect hadi chini juzi tu utajiri wa mtoto wa lowasa unakuwa questioned uingereza unatisha tunataka muadilifu kingine nani aliezungumzia kuanzishwa kwa mahakama za mafisadi mbona lowasa hawezi kusema hayoo
Na MwanaJamii
02:41
Kama magufuli ni muadilifu Lowassa sio muadilifu
Kama magufuli anakemea wala rushwa lowasa hakemei wala rushwa
Unaposema bora mchafu mmoja katika kundi la wasafi kuliko msafi mmoja katika kundi la wachafu usisahau kukumbuka kuwa huyo msafi au mchafu yupo katika nafasi gani na uwezo wake na maamuzi yake na mipaka yake na matarajio yake na uwezo wake
HOJA NI KWAMBA
Mchafu mmoja anachafua kundi lote kwasababu yeye ndio kiongozi top na mfano wa kuigwa na kutokana na uchafu wake hawezi kuwanyooshea vidole wachafu wenzake NA msafi mmoja anaweza kusafisha kundi lote kwakuwa yeye Ana mamlaka na uwezo huo
Nafasi inayotafutwa ni ya Urais ambaye ndie amiri jeshi mkuu na mwenye uwezo na mamlaka ya kufagia nyumba sasa umeona wapi mchafu aanze kuwasafisha wenzake wakati yeye ni mchafu
TAFAKARI CHUKUA HATUA
MAGUFULI NI muadilifu kuliko lowasa
#TunzaKichinjioChakoSubiri25OktobaUchinjeLowasa