JMWAKA
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 739
- 653
Na MwanaJamii
02:41
Kama magufuli ni muadilifu Lowassa sio muadilifu
Kama magufuli anakemea wala rushwa lowasa hakemei wala rushwa
Unaposema bora mchafu mmoja katika kundi la wasafi kuliko msafi mmoja katika kundi la wachafu usisahau kukumbuka kuwa huyo msafi au mchafu yupo katika nafasi gani na uwezo wake na maamuzi yake na mipaka yake na matarajio yake na uwezo wake
HOJA NI KWAMBA
Mchafu mmoja anachafua kundi lote kwasababu yeye ndio kiongozi top na mfano wa kuigwa na kutokana na uchafu wake hawezi kuwanyooshea vidole wachafu wenzake NA msafi mmoja anaweza kusafisha kundi lote kwakuwa yeye Ana mamlaka na uwezo huo
Nafasi inayotafutwa ni ya Urais ambaye ndie amiri jeshi mkuu na mwenye uwezo na mamlaka ya kufagia nyumba sasa umeona wapi mchafu aanze kuwasafisha wenzake wakati yeye ni mchafu
TAFAKARI CHUKUA HATUA
MAGUFULI NI muadilifu kuliko lowasa
#TunzaKichinjioChakoSubiri25OktobaUchinjeLowasa
02:41
Kama magufuli ni muadilifu Lowassa sio muadilifu
Kama magufuli anakemea wala rushwa lowasa hakemei wala rushwa
Unaposema bora mchafu mmoja katika kundi la wasafi kuliko msafi mmoja katika kundi la wachafu usisahau kukumbuka kuwa huyo msafi au mchafu yupo katika nafasi gani na uwezo wake na maamuzi yake na mipaka yake na matarajio yake na uwezo wake
HOJA NI KWAMBA
Mchafu mmoja anachafua kundi lote kwasababu yeye ndio kiongozi top na mfano wa kuigwa na kutokana na uchafu wake hawezi kuwanyooshea vidole wachafu wenzake NA msafi mmoja anaweza kusafisha kundi lote kwakuwa yeye Ana mamlaka na uwezo huo
Nafasi inayotafutwa ni ya Urais ambaye ndie amiri jeshi mkuu na mwenye uwezo na mamlaka ya kufagia nyumba sasa umeona wapi mchafu aanze kuwasafisha wenzake wakati yeye ni mchafu
TAFAKARI CHUKUA HATUA
MAGUFULI NI muadilifu kuliko lowasa
#TunzaKichinjioChakoSubiri25OktobaUchinjeLowasa