UKAWA Dodoma hampati kitu

UKAWA Dodoma hampati kitu

The Tomorrow People

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
2,690
Reaction score
2,853
Katika majimbo ambayo ukawa ishashindwa kabla ya 25/10 /2015... Ni dodoma.

Katika kura za urais za 2010... Kikwete alipata 88%...ya kura zote za mkoa wa Dodoma.

Mwaka huu CCM inaweza ikapata 98% ya kura za mkoa wote... Na sababu kubwa ni Lowassa.

Huku Kuna maeneo Lowassa watu hawamtaki kabisaaa... Kwa sababu ya kasumba ya vijana wake wa kimasai aliowapa ng'ombe kulisha kwenye mashamba ya wakulima.
 
Bora akose hata kijiji, urais ausubirie Monduli huko sio Magogoni
 
Katika majimbo ambayo ukawa ishashindwa kabla ya 25/10 /2015... Ni dodoma.

Katika kura za urais za 2010... Kikwete alipata 88%...ya kura zote za mkoa wa Dodoma.

Mwaka huu CCM inaweza ikapata 98% ya kura za mkoa wote... Na sababu kubwa ni Lowassa.

Huku Kuna maeneo Lowassa watu hawamtaki kabisaaa... Kwa sababu ya kasumba ya vijana wake wa kimasai aliowapa ng'ombe kulisha kwenye mashamba ya wakulima.

Haaahaa unachekesha kweli we mfa maji....utasoma namba leo ktk viwanja vya barafu ,wengi dodoma washa amka ma mbulula kama wewe hawapo.....tukutane viwanja vya barafu....jana wakazi wa dodoma walilipukwa kwa furaha ambayo sijawahi kuiona.
Na tumesema hatutaki kisikia chochote ...tunataka ccm itoke na imeshatoka mapema
 
Katika majimbo ambayo ukawa ishashindwa kabla ya 25/10 /2015... Ni dodoma.

Katika kura za urais za 2010... Kikwete alipata 88%...ya kura zote za mkoa wa Dodoma.

Mwaka huu CCM inaweza ikapata 98% ya kura za mkoa wote... Na sababu kubwa ni Lowassa.

Huku Kuna maeneo Lowassa watu hawamtaki kabisaaa... Kwa sababu ya kasumba ya vijana wake wa kimasai aliowapa ng'ombe kulisha kwenye mashamba ya wakulima.

Ulipo ujinga ndio ilipo ngome ya ccm.
 
  • Thanks
Reactions: bht
Acha uongo na ubaguzi Dodoma nilikuwepo wanataka mabadiliko rais lowasa MBUNGE kigaila
 
Katika majimbo ambayo ukawa ishashindwa kabla ya 25/10 /2015... Ni dodoma.

Katika kura za urais za 2010... Kikwete alipata 88%...ya kura zote za mkoa wa Dodoma.

Mwaka huu CCM inaweza ikapata 98% ya kura za mkoa wote... Na sababu kubwa ni Lowassa.

Huku Kuna maeneo Lowassa watu hawamtaki kabisaaa... Kwa sababu ya kasumba ya vijana wake wa kimasai aliowapa ng'ombe kulisha kwenye mashamba ya wakulima.

ahahaha
 
Katika majimbo ambayo ukawa ishashindwa kabla ya 25/10 /2015... Ni dodoma.

Katika kura za urais za 2010... Kikwete alipata 88%...ya kura zote za mkoa wa Dodoma.

Mwaka huu CCM inaweza ikapata 98% ya kura za mkoa wote... Na sababu kubwa ni Lowassa.

Huku Kuna maeneo Lowassa watu hawamtaki kabisaaa... Kwa sababu ya kasumba ya vijana wake wa kimasai aliowapa ng'ombe kulisha kwenye mashamba ya wakulima.

we pumbu mm niko dodoma mtaa wa dodoma in jana nilikuwa bayi wanahamu sana kumwona lowasa
 
kikwete alipita kwa asilimia izo je aliyo waahid ametekeleza kwa asilimia izo alizopata kwenye kura?fumbua macho weweeeeeeeeeee acha kulala
 
Mwaka huu wafanyakazi, wake na watoto wetu tumejiandikisha Dodoma, subiri muone anguko mtaduwaa
 
LOWASSA ANAKUBALIKA SANA HAPA DODOMA,ACHA UZUSHI WEWE....tena wasomi wa vyuo vyote hapa mjini na hata huko vijijini wanamkubali Lowasa na sio Magufuli.
 
Katika majimbo ambayo ukawa ishashindwa kabla ya 25/10 /2015... Ni dodoma.

Katika kura za urais za 2010... Kikwete alipata 88%...ya kura zote za mkoa wa Dodoma.

Mwaka huu CCM inaweza ikapata 98% ya kura za mkoa wote... Na sababu kubwa ni Lowassa.

Huku Kuna maeneo Lowassa watu hawamtaki kabisaaa... Kwa sababu ya kasumba ya vijana wake wa kimasai aliowapa ng'ombe kulisha kwenye mashamba ya wakulima.

Hii hasara ya kusikiliza tbc2 huko porini unakofugia, ukitoka kuchunga jion uendee hata kwenye vijiwe usikilize taarifa ya habari lakin isiwe kutoka tbc1! Tomorrow people hawako hvo, haya tuambie uko dodoma sehemu gani kwa sababu sehemu za kufugia dodoma ni chache?
 
Wewe acha kuwadhalilisha watu dodoma inamaana unataka kutuambia watu dodoma hawana akili na hawataki mabadiliko
 
Kama kikwete alishinda kwa zaid ya 85% je kawafanyia nini watu wa dodoma,mbona tuliompa kura kidogo tunawazidi watu wa dodoma maendeleo,hebu nyie matonya jitambueni acha ulofa.
 
Katika majimbo ambayo ukawa ishashindwa kabla ya 25/10 /2015... Ni dodoma.

Katika kura za urais za 2010... Kikwete alipata 88%...ya kura zote za mkoa wa Dodoma.

Mwaka huu CCM inaweza ikapata 98% ya kura za mkoa wote... Na sababu kubwa ni Lowassa.

Huku Kuna maeneo Lowassa watu hawamtaki kabisaaa... Kwa sababu ya kasumba ya vijana wake wa kimasai aliowapa ng'ombe kulisha kwenye mashamba ya wakulima.

Sababu ni ng'ombe? Hapana nakataa! Nimeishi Dodoma, nimefanikiwa kutembelea vijiji zaidi ya 135, wananchi wa huko nawafahamu vizuri jinsi walivyo na mahaba makubwa na CCM; ni kama vile CCM imewaloga!
Wana matatizo makubwa kwa muda mrefu sana (tangu uhuru) ya umasikini, maji, barabara, shule, nk na chanzo ni CCM. Huwa nawashangaa sana ninyi watu wa Dom kufurahia na kujivunia sanamu la Nyerere ambalo mmeletewa na CCM!

Pamoja na shida zenu zote hizo halafu mnaendelea kuchagua CCM ambayo ndiyo chanzo chake ni kufanana na MALOFA na WAPUMBAVU yaani wafuasi wa UKAWA!

Salamu kwa rafiki zangu wa Haneti (Chebe na Ustadh). Tarehe 6/9/2015 nitakuja kula mbuzi mnadani!
 
Katika majimbo ambayo ukawa ishashindwa kabla ya 25/10 /2015... Ni dodoma.

Katika kura za urais za 2010... Kikwete alipata 88%...ya kura zote za mkoa wa Dodoma.

Mwaka huu CCM inaweza ikapata 98% ya kura za mkoa wote... Na sababu kubwa ni Lowassa.

Huku Kuna maeneo Lowassa watu hawamtaki kabisaaa... Kwa sababu ya kasumba ya vijana wake wa kimasai aliowapa ng'ombe kulisha kwenye mashamba ya wakulima.

#HapaKaziTu
 
Back
Top Bottom