TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 929
- 1,277
Wakuu, kama endapo ccm watampitisha john pombe magufuri, basi UKAWA, itakuwa na kazi nzito sana kushinda huu uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, maana magufuri anakubalika ile mbaya, ndani ya ccm na hata nje ya ccm. Pia kumbuka katiba tunayoingia nayo kwenye uchaguzi, ndio ile katiba ambayo inasema matokeo ya urais hayapingwi mahakamani. Kilichobaki ukawa ni kupambana kupata wabunge, pia hata hapo pia itakuwa ngumu sana, maana john pombe, atawanadi kiurahisi sana. Ccm kwa mara nyingine wamecheza karata zao vizuri.