Ukatiri na unyanyasaji wa mbowe wadhihirika

Status
Not open for further replies.
Jun 13, 2011
59
8
Mnamo mwaka 1958 ni mwaka wa kihistoriakatika Nchi hii ya Tanzania.Mjadala wa kura tatu ni miongoni mwa matukio hayo ya kihistoria ambapo Mwl.Nyerere alikuwa mzungumzaji mkuu katika mjadala huo.Kutokana na huruma, busara,mvuto na ushawishi mkubwa aliokawanao Mwalimu huo;viongozi wa TANU na watu wengine waTabora walipanga mkakati wa kumnyanyua mwalimu huyo wakati atakapowasili kwenye mjadala huo.
Na tazama jinsi Nyerere alivyoongozwa na busara na huruma kubwa pale alipokataa kunyanyuliwa huku akisisitiza kuwa, hali hiyo ni sawa na ukatiri,unyanyasaji,ubinafsi na utumwa uliopea.Hali ni tofauti kwa Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe,ambaye kutokana na ukatiri, unyanyasaji na ubinafsi wake alionekana kujawa na furaha mithili ya mtu aliyefanikisha kupiga chafya pale aliponyanyuliwa na wafuasi wake wa CHADEMAkule Arusha baada ya kupata dhamana ambao kwa bahati mbaya hawajui kama wamelishwa unga wa ndere na chama hicho na hivyo kushindwa kung'amua baya lolote la viongozi wao wadhalimu.Wafuasi hao walionaswa na sumaku kali ya CHADEMA na hivyo kudumaa kimawazo, wanaonekana kuwaona wajinga wataalamu wa saikolojia ya binadamu wanaozifahamu tabia za binadamu kulingana na muktadha mahsusi huku wakijikakamua kutoa hoja zao zilizoathirika na unga huo wa ndere kama watakavyojitokeza katika hoja hii.
Nilishangawza sana kuona kiongozi huo akifurahia kunyanyuliwa na wafuasi wake ambao kwa bahati mbaya hawakusoma historia ya utumwa nakwamba hiyo waliyoifanya ni 'aspect' yake.
 
@Madaya, hii hoja yako ni extremely low and represents the highest level of stupidy on your part. Ukatili and unyanyasaji wa Mbowe ni upi hapa? kubwa wa wananchi wanaomuunga mkono? Ulishaona watu wakimbeba mtu mwingine kwa furaha (mahali popote duniani)? Timu za mpira wakishinda ulishaona wanafanya nini? i.e manchester United players & Sir Alex Ferguson? Please reframe yourself from causing further embarrassment! Umbumbumbu wa kutisha huu!
 
@Madaya, hii hoja yako ni extremely low and represents the highest level of stupidy on your part. Ukatili and unyanyasaji wa Mbowe ni upi hapa? kubwa wa wananchi wanaomuunga mkono? Ulishaona watu wakimbeba mtu mwingine kwa furaha (mahali popote duniani)? Timu za mpira wakishinda ulishaona wanafanya nini? i.e manchester United players & Sir Alex Ferguson? Please reframe yourself from causing further embarrassment! Umbumbumbu wa kutisha huu!

CCM Level kaka
 
Kumbeba mtu juu juu kufurahia ushindi = Ukatili na Unyanyasaji!This is Great thinker's argument!
 
halafu utakuta huyu ni kiongozi wa level ya juu sana katika utawala, yawezekana hata ni mbunge
 
Ni kama vile mtu kakurupuka usingizini, kaposti upupu wake then anarudi kulala....kweli bange mbaya!
 
@Madaya, hii hoja yako ni extremely low and represents the highest level of stupidy on your part. Ukatili and unyanyasaji wa Mbowe ni upi hapa? kubwa wa wananchi wanaomuunga mkono? Ulishaona watu wakimbeba mtu mwingine kwa furaha (mahali popote duniani)? Timu za mpira wakishinda ulishaona wanafanya nini? i.e manchester United players & Sir Alex Ferguson? Please reframe yourself from causing further embarrassment! Umbumbumbu wa kutisha huu!

Mkuu kwa mantiki yake basi kocha wa Barcelona, Pep Gudiola, ni mnyanyasaji wa hali ya juu!! Amekuwa akiwanyanyasa wachezaji wa Barcelona kila wakiishinda Man U manake nimekuwa nikiona si tu walikuwa wakimbeba bali wanamrusha juju juu kwa furaha.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Kuna vitu vingine hata unashindwa kujua na kuelewa nini hoja ndani ya maandiko au hata nini akili ya mwandishi, hivi kubebwa kwa Mbowe inaweza kuwa Ukatili kweli? na Je kukamatwa kwake siyo ukatili? Matumizi ya ndege ya serikali kumpereka Arusha nini? na Kesi waliofunguliwa wao baada ya Polisi kuuwa Raia inaitwaje? Awali nilidhani wewe ni mjinga lakini hapana nadhani si ujinga naona kama lengo lako ni kupotosha mambo, lakini unaposha mambo kwa ajili ya shibe ambayo inaingia tumboni kuelekwa chooni huku nchni yako ikiteketea, pole sana hujui ulitendalo.

Bado tunasafari ndefu sana maana watu kama huyu mtoa mada hii ndio yamkini tulionao wengi hasa ndani ya ofisi za Umma!
 
Kama hauna la kuandika bora ukatulia maana ulicholeta hapa ni kioja.Kichwa habari tofauti na habari yenyewe naomba uweke jina lako kamili na namba yako ya simu hili tukuelimishe
 
MADAYAJoin Date : 13th June 2011
Posts : 6
Thanks0Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0
 
Mnamo mwaka 1958 ni mwaka wa kihistoriakatika Nchi hii ya Tanzania.Mjadala wa kura tatu ni miongoni mwa matukio hayo ya kihistoria ambapo Mwl.Nyerere alikuwa mzungumzaji mkuu katika mjadala huo.Kutokana na huruma, busara,mvuto na ushawishi mkubwa aliokawanao Mwalimu huo;viongozi wa TANU na watu wengine waTabora walipanga mkakati wa kumnyanyua mwalimu huyo wakati atakapowasili kwenye mjadala huo.
Na tazama jinsi Nyerere alivyoongozwa na busara na huruma kubwa pale alipokataa kunyanyuliwa huku akisisitiza kuwa, hali hiyo ni sawa na ukatiri,unyanyasaji,ubinafsi na utumwa uliopea.Hali ni tofauti kwa Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe,ambaye kutokana na ukatiri, unyanyasaji na ubinafsi wake alionekana kujawa na furaha mithili ya mtu aliyefanikisha kupiga chafya pale aliponyanyuliwa na wafuasi wake wa CHADEMAkule Arusha baada ya kupata dhamana ambao kwa bahati mbaya hawajui kama wamelishwa unga wa ndere na chama hicho na hivyo kushindwa kung'amua baya lolote la viongozi wao wadhalimu.Wafuasi hao walionaswa na sumaku kali ya CHADEMA na hivyo kudumaa kimawazo, wanaonekana kuwaona wajinga wataalamu wa saikolojia ya binadamu wanaozifahamu tabia za binadamu kulingana na muktadha mahsusi huku wakijikakamua kutoa hoja zao zilizoathirika na unga huo wa ndere kama watakavyojitokeza katika hoja hii.
Nilishangawza sana kuona kiongozi huo akifurahia kunyanyuliwa na wafuasi wake ambao kwa bahati mbaya hawakusoma historia ya utumwa nakwamba hiyo waliyoifanya ni 'aspect' yake.

Poor CCM..hivi hawa ndio viwavi wako wapumbafu namna hii?
 
Mnamo mwaka 1958 ni mwaka wa kihistoriakatika Nchi hii ya Tanzania.Mjadala wa kura tatu ni miongoni mwa matukio hayo ya kihistoria ambapo Mwl.Nyerere alikuwa mzungumzaji mkuu katika mjadala huo.Kutokana na huruma, busara,mvuto na ushawishi mkubwa aliokawanao Mwalimu huo;viongozi wa TANU na watu wengine waTabora walipanga mkakati wa kumnyanyua mwalimu huyo wakati atakapowasili kwenye mjadala huo.
Na tazama jinsi Nyerere alivyoongozwa na busara na huruma kubwa pale alipokataa kunyanyuliwa huku akisisitiza kuwa, hali hiyo ni sawa na ukatiri,unyanyasaji,ubinafsi na utumwa uliopea.Hali ni tofauti kwa Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe,ambaye kutokana na ukatiri, unyanyasaji na ubinafsi wake alionekana kujawa na furaha mithili ya mtu aliyefanikisha kupiga chafya pale aliponyanyuliwa na wafuasi wake wa CHADEMAkule Arusha baada ya kupata dhamana ambao kwa bahati mbaya hawajui kama wamelishwa unga wa ndere na chama hicho na hivyo kushindwa kung'amua baya lolote la viongozi wao wadhalimu.Wafuasi hao walionaswa na sumaku kali ya CHADEMA na hivyo kudumaa kimawazo, wanaonekana kuwaona wajinga wataalamu wa saikolojia ya binadamu wanaozifahamu tabia za binadamu kulingana na muktadha mahsusi huku wakijikakamua kutoa hoja zao zilizoathirika na unga huo wa ndere kama watakavyojitokeza katika hoja hii.
Nilishangawza sana kuona kiongozi huo akifurahia kunyanyuliwa na wafuasi wake ambao kwa bahati mbaya hawakusoma historia ya utumwa nakwamba hiyo waliyoifanya ni 'aspect' yake.

ina maana NEPI kashindwa kuwafanyia usahili hawa watu wake ?
au hakuna wenye viwango waliomba kazi.
eti wametashwa na sumaku ya CHADEMA sasa hiyo ni sifa kwa chadema au NI dongo kwa CCM?
 
Mkuu kwa mantiki yake basi kocha wa Barcelona, Pep Gudiola, ni mnyanyasaji wa hali ya juu!! Amekuwa akiwanyanyasa wachezaji wa Barcelona kila wakiishinda Man U manake nimekuwa nikiona si tu walikuwa wakimbeba bali wanamrusha juju juu kwa furaha.
..."kila wakiishinda Man U"....kiongozi hapa utawafanya baadhi ya watu 'wagonjweke' cku ya leo maana hata 40 hawajamaliza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom