Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,467
- 5,183
hivi hizi mimba zao zinakuwagaje jamani mpaka inatokea mtu huna uchungu na mwanao uliembeba miezi 9 na kujikakamua labour mpaka dk ya mwisho, nahic hizi ni tofauti na mimba za wanawake wengine...khaaa hapana jamani....
si wote wanazaa jamani, wengine wanataga.
unajua bwana ukatili huu hakika Mungu msamehe mama huyo kiukweli wanawake akili zao hazifanyi kazi vizuri na wao ndo chanzo cha maovu na kumuasi Mungu wanawake hawahawa walisababisha si unaona ongezeko la ngono zembe now days wanawake kuacha manyonyo yao nje,makalio nje,nguo za ndani nje yaani kwanini Mola alimpa Adam janga hili wanawake nyie vipi mmeshatukosanisha na Mungu basi inatosha badilikeni tuungane pamoja kufanya toba jamani aaaaaaah