UKATA: Lunch time Hotel ya Ubungo hostel yafungwa

UKATA: Lunch time Hotel ya Ubungo hostel yafungwa

Tujikite kwenye point. Acheni upuuzi.tatizo lenu mmezoea vyoo vya shimo.mnaakili za ki uswazi uswazi.
 
Nina degree zaidi ya moja.pumbavuu zenu nyiee wakati wazee wetu wanatusomesha..baba zenu walikuwa wanakata viuno.

Mtakuwa ma house boy hadi yesu aje..vufutu nyie
Mods huu mjadala unapoteza muelekeo, ni vyema mkachukua hatua kama inawezekana...
 
Nimepita hapo ubungo maeneo ya hostel ile hotel yetu maarufu ya lunch time..naona sasa imefungwa..na inanyewa na njiwa tu.

Zaidi naona chini kuna kijishule cha udereva....haha na bado...kufikia July tutajua Nani mzawa wa dar na Nani wa kuja!!mtarudi tu kwenye mikoa yenu..msio na nyumba mjini.

Hadi July tutajua Nani karudi mkoa na Nani kinga'anganizi.
Na hv serkali wameanza kuchokoza mifereji (madawa kulevyo) ya pesa
Hotel nyng ztakufa
Wananch jiandaeni pesa kukauka zaid!
 
Lunch time kaka.land mark IPO kituo cha riverside..lunch time IPO the next kituo..kwa wale wanaotumiaga daladala..(mimi mhaya bwana naenda ..Rush)
Sasa Dar kuna Wahaya?? Usifurahi juu Yangu Ee adui Yangu, niangupo Mimi nitasimama tena!!! Tena Ayubu akasema, Najua ya kuwa Mtetezi wangu yu Hai na kwamba atasimama na kunitetea, na baada ya ngozi Yangu kuharibiwa hivi...lakini pasipo mwili nitamuona....!!!
 
Nimepita hapo ubungo maeneo ya hostel ile hotel yetu maarufu ya lunch time..naona sasa imefungwa..na inanyewa na njiwa tu.

Zaidi naona chini kuna kijishule cha udereva....haha na bado...kufikia July tutajua Nani mzawa wa dar na Nani wa kuja!!mtarudi tu kwenye mikoa yenu..msio na nyumba mjini.

Hadi July tutajua Nani karudi mkoa na Nani kinga'anganizi.
Mkuu, hapa nimewaza kodi yangu ikiisha naenda kukaa Chanika chumba cha elfu kumi, toka kwenye hii apartment ninayolipia laki tano... Tangu nifanye maamuzi hayo sasa napata usingizi. Maana kwa mwaka mzima ikifika kodi inaisha mpaka napata vidonda vya tumbo, ila kwa sasa nimeamua kung'oa nanga mjini....
 
Nasema na kusisitiza ni LUNCH TIME NA SIO LANDMARK.. kaka tatizo lako hujasoma degree..ungekuwa ulisoma degree ungekuwa na mazoea ya kuja hostel ungeijua lunch time hotel.

Unabisha tuu..hata dar yenyewe huijui..upo matombo Morogoro huko eti na wewe unajifanya mzawa.
Aisee kwa hiyo matombo ndiyo kwa walugaluga Na una ki degree kimoja tu umeshakuwa Na dharau
 
Hili swala la wafanya biashara kuzifunga biashara zao sio picha nzuri kwa ustawi wa wafanyakazi wa nchi hii ni mtazamo wangu tu.
 
Mkuu wahaya ni washamba sana sijawahi kuonana aisee. Kapata kadegree basi anajiona kamaliza dunia.
Ukifatilia post zake utagundua kitu take your time look at his post at last utagundua kitu as the same I did, leave him alone elimu ahijakomboa mtu hapa, bali mtu ndio amekombolewa na elimu..
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Ukifatilia post zake utagundua kitu take your time look at his post at last utagundua kitu as the same I did, leave him alone elimu ahijakomboa mtu hapa, bali mtu ndio amekombolewa na elimu..
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ukiwa period unakuwa mkali mkali..unamaliza lin blid?
 
Lunch haikuwa inafanya vizuri from way back, kitu kama miaka mitatu au minne.. Mwenye hotel alitaka kuwanunua majirani ili afanye expansion wakamgomea.. Akaiweka sokoni for 5B, lakini hakupata Wateja..

Hotel haina parking ya kueleweka, vyoo ni hovyo, hata vyumba vya kawaida sana, Huduma za misosi za kawaida sana. The only tangible source of income iliobaki ni social hall.

So sishangai kama ameamua kuifunga..
 
Mtoa mada mbona umekuja na mipasho kibao?Ukumbuke yote maisha na huwezi jua plan za jamaa mpaka kafanya uamuzi wa kufunga hoteli..Inawezekana ameona penye fursa zaidi na ameenda kuwekeza huko na bahati mbaya hata humjui ili upate data kamili..yaani umeona hotel imefungwa tu basi umekurupuka kwenye tecno yako kuleta umbea..Dont judge haya ni maisha tu fala wewe!!
Kulikuwa na haja gani ya kubwabwaja haya yote . .
Anachokiongea jamaa ni ukweli mtupu maana iko wazi. . Hata ww ukitaka nenda ukajionee.
Kuhusu sababu za kufungwa kwa hotel ni zilezile kama za kufungwa kwa mahotel mengi mjini hapa na mengine kupigwa bei.
Kwa ufupi mzunguko ni mdogo na wengi hela zimekata , wanaelekeza hela kwenye mambo ya lazima tu basic needs.

Mkuu umebwabwaja sana hadi umeshuka thamani. .
 
Nasema na kusisitiza ni LUNCH TIME NA SIO LANDMARK.. kaka tatizo lako hujasoma degree..ungekuwa ulisoma degree ungekuwa na mazoea ya kuja hostel ungeijua lunch time hotel.

Unabisha tuu..hata dar yenyewe huijui..upo matombo Morogoro huko eti na wewe unajifanya mzawa.
Kwa bukuba kuna sehemu inaitwa Dar? Nashangaa huyu mhaya anasema yeye wa Dar .sasa napata wasiwasi Wazaramo na wandengereko watasemaje ?
 
Kwa bukuba kuna sehemu inaitwa Dar? Nashangaa huyu mhaya anasema yeye wa Dar .sasa napata wasiwasi Wazaramo na wandengereko watasemaje ?
Nenda kazibue mitaro ya maji machafu huko..
 
Nimepita hapo ubungo maeneo ya hostel ile hotel yetu maarufu ya lunch time..naona sasa imefungwa..na inanyewa na njiwa tu.

Zaidi naona chini kuna kijishule cha udereva....haha na bado...kufikia July tutajua Nani mzawa wa dar na Nani wa kuja!!mtarudi tu kwenye mikoa yenu..msio na nyumba mjini.

Hadi July tutajua Nani karudi mkoa na Nani kinga'anganizi.
Wakati unahangaika kujua nani yamemkuta, nakushauri jiangalie wewe na maisha yako. Utajikuta unatumia muda mwingi kufuatilia maisha ya wenzio ambao hawana time na wewe.
Nukuu " Unapigana vita ipi? Je unapigana na nani vita hiyo?".
 
Eeeh bora nasiye wa hali ya chini tulepo watoto wazuri maana wadada wazuri wote wamatajiri sasa waje hata kwangu,nicheki pm mtoto mzuri nina 30,000/= uje ule bata njoo temeke Wailesi MATAKO BAR
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom