Ukarimu wangu wakupitiliza umeanza kuniponza

Ukarimu wangu wakupitiliza umeanza kuniponza

Kama kweli huja kua na mpango wa kumtafuna(tongoza) we piga kazi kaka,na kama vimate VILIKOREA KWA SINGO [emoji23] basi achana nae,,na ikibidi labda kama sijakuelewa vzr - umesema hapo ofcn kuna ka day work? ukiona vp hebu kaulize na kama hoko ndio kamepeka taarifa nadhani nafsi yake itajisikia vibaya ili iwe kama onyo sikunyingine kajiulize mara 2 kuyatenda hayo.
 
Kwanini asikukutanishe na huyo mtu au Daktari naye alitaka aone kuwa kama ndio unashughuli mbili hapo hospital ya huduma ya afya na huduma za wake za watu
 
Bwana weye fanya kazi iliyokuleta habari ya kuonesha ukarimu kwa wake zetu acha.
 
Mimi sioni point ya kukufanya kuumiza kichwa chako, maana kama mtu umemonyesha ukarimu tu na hukuwa na lengo lingine basi ua not guilt na huna haja ya kuwa guilt......ila kama nafsi yako ilienda mbali zaidi basi umekosea....na je nimejuliza tu huyo jamaa alieleta malalamiko ilikuaje au alijuaje umeanzisha ligi nae je ulikua na mawasiliano na yule dada?
Huyo dada na kamueleza jamaa ambae ni mume wake kua nime try kumtongoza jamaa ndo kaleta malalamiko kwa boss
 
Sio lazima watu wakukubali kuwa ww ni muaminifu chamsingi tu wewe uwe ni muaminifu inatosha kabsa, kwenye maisha sio lazima kuelewana ila ni lazima kila mtu kumuelewa mwenazake.
Thnks mkuu kwa ushaur murua
 
Bwana weye fanya kazi iliyokuleta habari ya kuonesha ukarimu kwa wake zetu acha.
Hahahha mkuu ndo nature ya kazi zetu tumetumia mda mwingi sna kusoma modules za communication skills and how to build good rapport sasa kama si ii apply itakua nimepoteza mda bure
 
Kama kweli huja kua na mpango wa kumtafuna(tongoza) we piga kazi kaka,na kama vimate VILIKOREA KWA SINGO [emoji23] basi achana nae,,na ikibidi labda kama sijakuelewa vzr - umesema hapo ofcn kuna ka day work? ukiona vp hebu kaulize na kama hoko ndio kamepeka taarifa nadhani nafsi yake itajisikia vibaya ili iwe kama onyo sikunyingine kajiulize mara 2 kuyatenda hayo.
Hhaa mkuu mbona kiswahil chako kinanipa shida sna kwa kwel
 
ulishawahi kuchukua namba ya mteja yoyote mkawa mnawasiliana kwa simu..!!!!?
 
Yan We Acha Tu Unachosema Mi Nakuelewa Sana Nimewah Ishi Sehem Flan Nikahicwa Natoka Na Bint M1 Na Ukichek Cpendi Kuchafua Cv Yangu Yan Ilinisumbua Sana Na Na Mpaka Leo Watu Wanajua Me Yule Ni Dm Wangu Cpend Kashfa Ambazo C Za Kweli,, Ila Be Serious Na Kaz Huwez Kupendeza Kila Mtu
 
UPDATES
Duuh wakuu halikua dogo
Mume wake kaja mda huu kanichimba bongez la mkwalaa yaan ishakua nongwa sasa

Nimejaribu kumueleza uhalisia lakin anaonekana mume wenyewe si mtu wa logic

Wakuu ishakua aibu hii yaan napata matatizo kitu ambacho skufanya kabisa
 
Back
Top Bottom