Ukarimu wangu wakupitiliza umeanza kuniponza

Ukarimu wangu wakupitiliza umeanza kuniponza

colin_morgan

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
2,443
Reaction score
2,926
Habari zenu ndugu wa JF, kawaida sipendi kuanzisha nyuzi mara kwa mara humu jukwaani ila ninapoanzisha inakua maji yamefika shingoni.

Niende direct kwenye sababu ilionifanya nikafungua uzi huu.

Nafanya kazi katika sekta ya afya , kuna ki private kimoja ninapiga part time ili maisha yasonge.

Basi kuna mdada alikuja kupata huduma kama kawaida yangu mda wote nakua na smile na kuonesha uchangamfu kwa mteja hali ambayo na kama mteja mwenyewe atakua mcheshi basi tunaweza piga story hapo na kucheka basi mdada tulipiga story sna anapotoka na hadi matatizo yake mawili matatu ya ki personal na kutokana na nature za kazi zetu basi tunakua tunadadisi ili tuweze kujua tumsaidie vipi mteja psychological.

Sasal eo nimeitwa na boss wangu na kuniambia kumekuja malalamiko ya kaka mmoja kasema nimemtongoza mke wake na imemuuma sana hadi kusitisha familia yake isije tena kufata huduma kwetu.

Kwa kweli nimewaza sana na kuvuta kumbukumbu sna nijue ni mwanamke gani huyo bila kupata majibu kila ninapovuta memory naona hamna mwisho nikakumbuka huyo binti kama alikuja nikamchangamkia sana na tukapiga story basi nikamueleza boss kwamba ni jinsi nilivyomuonesha ukarimu na ucheshi umefanya pengine ajishuku ukizingatia hawa ndugu zetu wa kizanzibar /Pemba kutokana na mazingira ambayo wanatokea yaani ukimzoea tu girl hata kama ni friend wako watu wanajua direct unamtaka.

Sasa hapa nina mawazo mengi sana kichwani nahisi kama ni mkosi vile na ninajipangia kua so serious na kubadili tabia niondoe ukarimu wakupitiliza maana unazidi kunicost.

Naomba msaada wa mawazo ndugu yangu au kunitia moyo maana hadi sasa sijielewi kwa stress

Ahsanteni
 
Ww ndo mwenye ukweli kwanini uteseka na story za watu ikiwa unajiamini
 
Hizo ni hisia zako tu, ikiwa hukuwa na nia mbaya huna haja ƴa kuwa na mawazo, ila ikiwa ndio tabia yako ya kunyatia wateja basi acha
Hapana , vijana tunakua kwel tunapend penda ila si kwa huyu dada yaan skua na hata ilo wazo akilin mwangu
Na roho inaniuma cause mm najua moyon km nipo innocent ila wanaonizunguka hawawez kuniona kama awali so kiufup amenichafua
 
Asnte ila roho inaniuma sna mtu anaku judge wrong halaf unapoteza hadhi yako kwa watu waliokuzunguka
Nimeishi sana Zanzibar Mkuu... Jaribu kuendana na tamaduni za huko...., kuna mambo yanawezekana Dar na si Zanzibar... Hiyo tunaita kisomi "Cultural relativism". Kuna msemo wa wahenga wa Tulin wanasema, if you live in rome live like the roman's do.

Otherwise we msomi, ushanielewa na utalifanyia kazi. Usiogope hizo ndio changamoto zilizopo kwenye professional yako huwezi zikimbia ila unaweza kuzishinda. Piga kazi Tanzania ya viwanda onakutegemea sana Dr.
 
Nimeishi sana Zanzibar Mkuu... Jaribu kuendana na tamaduni za huko...., kuna mambo yanawezekana Dar na si Zanzibar... Hiyo tunaita kisomi "Cultural relativism". Kuna msemo wa wahenga wa Tulin wanasema, if you live in rome live like the roman's do.

Otherwise we msomi, ushanielewa na utalifanyia kazi. Usiogope hizo ndio changamoto zilizopo kwenye professional yako huwezi zikimbia ila unaweza kuzishinda. Piga kazi Tanzania ya viwanda onakutegemea sana Dr.
Asante mkuu
 
An obsession with sexual chastity for grown women and men is a sign of economic and educational underdevelopment.
 
Trust its like a broken mirror mkuu once it broke machoni mwa watu it wont be perfect again
Sio lazima watu wakukubali kuwa ww ni muaminifu chamsingi tu wewe uwe ni muaminifu inatosha kabsa, kwenye maisha sio lazima kuelewana ila ni lazima kila mtu kumuelewa mwenazake.
 
Piga kazi kk..hao pumba achana nao..(km kweli hukumtongoza)
 
Boss wako tu ndio anakuzingua sizani kwama kuna ukweli atakuwa rabda alifatilia maongezi yako na huyo mrembo anaona unaweza kuchukua fulusa
 
Usichangamkie wake za watu kama ulisha ona udhaifu wa kizanzibar na kipemba
 
Habari zenu ndugu wa JF, kawaida sipendi kuanzisha nyuzi mara kwa mara humu jukwaani ila ninapoanzisha inakua maji yamefika shingoni.

Niende direct kwenye sababu ilionifanya nikafungua uzi huu.

Nafanya kazi katika sekta ya afya , kuna ki private kimoja ninapiga part time ili maisha yasonge.

Basi kuna mdada alikuja kupata huduma kama kawaida yangu mda wote nakua na smile na kuonesha uchangamfu kwa mteja hali ambayo na kama mteja mwenyewe atakua mcheshi basi tunaweza piga story hapo na kucheka basi mdada tulipiga story sna anapotoka na hadi matatizo yake mawili matatu ya ki personal na kutokana na nature za kazi zetu basi tunakua tunadadisi ili tuweze kujua tumsaidie vipi mteja psychological.

Sasal eo nimeitwa na boss wangu na kuniambia kumekuja malalamiko ya kaka mmoja kasema nimemtongoza mke wake na imemuuma sana hadi kusitisha familia yake isije tena kufata huduma kwetu.

Kwa kweli nimewaza sana na kuvuta kumbukumbu sna nijue ni mwanamke gani huyo bila kupata majibu kila ninapovuta memory naona hamna mwisho nikakumbuka huyo binti kama alikuja nikamchangamkia sana na tukapiga story basi nikamueleza boss kwamba ni jinsi nilivyomuonesha ukarimu na ucheshi umefanya pengine ajishuku ukizingatia hawa ndugu zetu wa kizanzibar /Pemba kutokana na mazingira ambayo wanatokea yaani ukimzoea tu girl hata kama ni friend wako watu wanajua direct unamtaka.

Sasa hapa nina mawazo mengi sana kichwani nahisi kama ni mkosi vile na ninajipangia kua so serious na kubadili tabia niondoe ukarimu wakupitiliza maana unazidi kunicost.

Naomba msaada wa mawazo ndugu yangu au kunitia moyo maana hadi sasa sijielewi kwa stress

Ahsanteni
Mimi sioni point ya kukufanya kuumiza kichwa chako, maana kama mtu umemonyesha ukarimu tu na hukuwa na lengo lingine basi ua not guilt na huna haja ya kuwa guilt......ila kama nafsi yako ilienda mbali zaidi basi umekosea....na je nimejuliza tu huyo jamaa alieleta malalamiko ilikuaje au alijuaje umeanzisha ligi nae je ulikua na mawasiliano na yule dada?
 
Back
Top Bottom