Oa nawewe halafu mi niwe nampa nkeo lifti uone uchungu wake,nashangaa haya mambo umeyaleta huku huu ni umbeya,kipi kimekuuma,huu ni uamzi wangu binafsi
Sasa bora umtafune huyo mkewe Ili tuhuma ziwe za kweli.........inauma sana kusingiziwa.............bora shari kamili kuliko shari nusu nusu kama hivyo...........