Ukara Fish: Dagaa wa kukaangwa wa Mwanza

Ukara Fish: Dagaa wa kukaangwa wa Mwanza

Nilishangaaa hiyo bei ya 40000 kwa gunia,nilitaka niingie mkataba kabisa na wewe!
Hahahah debe ndio elfu40 ila maongez yapo kama utachukua mzigo mkubwa
Mafuta gani mnatumia kukaangia hao dagaa?
Tunatumia korie mkuu
IMG_20170407_171706.jpeg
 
Sema mnapiga faida sana,debe 1 la safi kabangaja,Kayenze kubwa/Ndogo haivukagi 15,000.

Kukaanga 2ltr za mafuta,kuni mbili tatu ,kuuza 40,000 faida 15,000 chap.[emoji14] [emoji14] [emoji14]
Na mimi nakuja Igombe kukaanga dagaa.
Wajasiriamali hiyo ndo tunaiita 'UPANDISHAJI WA THAMANI'
Debe 1 la wabichi sh.15000
Debe 1 la waliokaangwa sh.40000
Debe 1 la walio kwenye package ya kisasa kabisa sh.80,000
 
Mkuu nlshangaa sana! tungenunua gunia afu famia ya 3 tungekunyw had supu ya dagaa maana 40 gunia
 
Mnatumia maguta ya aina gani kukaangia..wengine tuna limit ya mafuta...nijuze tafadhali
 
Kwa walio mwanza au wenyeji wa mwanzs wanisadie sehemu ambapo ntapata kazi yoyote ile ambayo haina uhitaji wa vigezo vya elimu
 
Back
Top Bottom