Mimi nimekuwa nikisoma hapa jf kuwa cdm ni chama cha wachagga mara cha ukoo mara cha kidini,mara ukanda,naomba mnipe ufafanuzi bila kukurupuka,musoma,ukerewe;kigoma ;iringa mbeya ,mwanza ni ngome kuu ya cdm huo ukanda umekaaje hapo ,waha,wakurya na wahehe nao ni wachagga?jibuni hayo kwanza
Mimi nimekuwa nikisoma hapa jf kuwa cdm ni chama cha wachagga mara cha ukoo mara cha kidini,mara ukanda,naomba mnipe ufafanuzi bila kukurupuka,musoma,ukerewe;kigoma ;iringa mbeya ,mwanza ni ngome kuu ya cdm huo ukanda umekaaje hapo ,waha,wakurya na wahehe nao ni wachagga?jibuni hayo kwanza
Mimi nimekuwa nikisoma hapa jf kuwa cdm ni chama cha wachagga mara cha ukoo mara cha kidini,mara ukanda,naomba mnipe ufafanuzi bila kukurupuka,musoma,ukerewe;kigoma ;iringa mbeya ,mwanza ni ngome kuu ya cdm huo ukanda umekaaje hapo ,waha,wakurya na wahehe nao ni wachagga?jibuni hayo kwanza
Ritz na Rejao hebu changamkeni mujibu hii.
Nadhani jibu kamili atalipata kutoka kwa Mbunge wa Arumeru Joshua Nassari anaejiita Rais wa Meru.
Mimi nimekuwa nikisoma hapa jf kuwa cdm ni chama cha wachagga mara cha ukoo mara cha kidini,mara ukanda,naomba mnipe ufafanuzi bila kukurupuka,musoma,ukerewe;kigoma ;iringa mbeya ,mwanza ni ngome kuu ya cdm huo ukanda umekaaje hapo ,waha,wakurya na wahehe nao ni wachagga?jibuni hayo kwanza
Ritz na Rejao hebu changamkeni mujibu hii.
Ofkozi CDM kilipo anza kilikuwa na sura hiyo ya ukanda But now days things are changed, chama kimepanuka all over the country But huwezi kuondoa ukweli kuwa wenye chama wanatoka ukanda fulani na ndio wanaamua nini kifanyike ndani ya chama