TuntemekeSanga
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,346
- 863
Nami naunga mkono marekebisho hayo. Ccm isomeke CdmSawa Komredi, Rekebisha basi hiyo title yako,naona umeweka CCM badala ya CDM.
Hata hivyo "ubarikiwe" Kwa kuwa "jirani mwema"
Kiapara Mtu-mbavu sana, amajifanya chadema jina la uzi limemuumbua!!Sawa Komredi, Rekebisha basi hiyo title yako,naona umeweka CCM badala ya CDM.
Hata hivyo "ubarikiwe" Kwa kuwa "jirani mwema"
Chama kikiwa tegemeo lake ni mtu mmoja, basi hapo hakuna chama, bali ni mali yake. Mbowe ni binadamu jee kesho akifa ama kuugua na kushindwa majukumu. Chama kitakufa?Bila Mbowe chadema ingekuwa ilishakuwa Kama vyama vingine tu.
Hao wachonganishi hawawezi kumyumbisha mbowe.
Ukizaliwa familia yenye hela huwezi kubabaishwa na vihoja vya kimaskini na kuhama chama Kama hao wengine.
Mashinji mwenyewe ni mtu wa system.
Hakuna mtu ataweza kuipitisha chadema zaidi ya mbowe
Sent using Jamii Forums mobile app
mod's wamefanya yao jiwe lilirushwa kizani wao wakalidaka na kuelekeza wanako taka wao!
I see !Bila Mbowe chadema ingekuwa ilishakuwa Kama vyama vingine tu.
Hao wachonganishi hawawezi kumyumbisha mbowe.
Ukizaliwa familia yenye hela huwezi kubabaishwa na vihoja vya kimaskini na kuhama chama Kama hao wengine.
Mashinji mwenyewe ni mtu wa system.
Hakuna mtu ataweza kuipitisha chadema zaidi ya mbowe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnataka kurudisha yale yale ya kuzomea wana ccm kinachofuatia ni kuanza kupiga kama ilivyokuwa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.Hiyo style inapaswa kufanyika nchi nzima mpaka waone soo.
Hivi leo mbowe akitangulia mbele ya haki ndio utakuwa mwisho wa chadema tuache mapenzi yaliyopitiliza tujitatafakari wajitafakari wamejikwaa wapi hili ni tatizo kubwa la viongozi kuhama viongozi wajitafakariBila Mbowe chadema ingekuwa ilishakuwa Kama vyama vingine tu.
Hao wachonganishi hawawezi kumyumbisha mbowe.
Ukizaliwa familia yenye hela huwezi kubabaishwa na vihoja vya kimaskini na kuhama chama Kama hao wengine.
Mashinji mwenyewe ni mtu wa system.
Hakuna mtu ataweza kuipitisha chadema zaidi ya mbowe
Sent using Jamii Forums mobile app
In the course of time changes something inevitable!!!mpaka sasa bank 4 zimefungwa kwa hasara
Cement bei juu
sukari bei juu
tangu 2015 hadi leo hakuna salary increment
Wadhamini wa ligi kuu wamejitoa biashara hakuna
Trilion 1.5 ya bajeti imefisadiwa kwa mujibu wa report ya CAG
kwa miaka 3 ya Magufuli deni la taifa limepaa kutoka Trillion 28 hadi Trillion 60.
"Watanzania tembeeni vifua mbere kama meza ya kamari we are one the raiti traki"
Mnataka kurudisha yale yale ya kuzomea wana ccm kinachofuatia ni kuanza kupiga kama ilivyokuwa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.
Itasababisha vipigo na madhila zaidi kwa Chadema.Hii itasaidia tabia ya huu wizi na uporaji wa kura kuisha.
Asiwe na mapenzi wakati ni chama cha ukoo na familia?Kusema u kweli Wa Mungu Mimi sijawahi kuwa na kadi ya chama tofauti na ya ccm kwa kulazimishwa na mwajiri wangu enzi hizo Mimi sipendi uonevu napenda haki lakini chama changu hiki kinapenda kucheza rafu mbinu za wizi wizi hata kwetu wenyewe ndani hakuna haki ukifuata haki unaachiwa manyoyaa Tanzania hakuna MWENYEKITI Wa chama mwenye mapenzi na chama kama Mbowe anamsimamo Wa dhati nakumbuka mwaka 1995 nilihudhuria kampani yake akiwa chama chake kimejiunga na nccr mageuzi kusema ukweli chadema ni chama cha umoja na kinapenda muungano naomba ccm sasa mbinu ya kumchafua Mbowe tuseme imeshashindwa na chadema KWA sasa kina wanachama wadhati ambao wanakipenda chama na Wa najuwa mbinu za ccm kukiuwa hakiwezekani kina mizizi ya wasomi wengi wanajitambua wengi ccm ni njaa tu inawaka siyo kuwa kinapendwa kwa dhati laah Mbowe hana ukabila
Chama cha baba mkwe, hakiwezi kuisumbua CCM hata kidogoMbowe anawatesa maccm yenu yamewashinda ya kusigina katiba yenu na kuwa chini ya one man mnakimbilia ya chadema mtapata tabu sana
Itasababisha vipigo na madhila zaidi kwa Chadema.
Anawajambisha , chadomo , kwa kua hiko chama ni urithi kutoka ukweni.Mbowe anawajambisha sana maccm.
Sasa mbona pua zinawatanuka kutaka aachie ngaziChama cha baba mkwe, hakiwezi kuisumbua CCM hata kidogo
Mniombeempaka sasa bank 4 zimefungwa kwa hasara
Cement bei juu
sukari bei juu
tangu 2015 hadi leo hakuna salary increment
Wadhamini wa ligi kuu wamejitoa biashara hakuna
Trilion 1.5 ya bajeti imefisadiwa kwa mujibu wa report ya CAG
kwa miaka 3 ya Magufuli deni la taifa limepaa kutoka Trillion 28 hadi Trillion 60.
"Watanzania tembeeni vifua mbere kama meza ya kamari we are one the raiti traki"
Kweli nimeamini , nyani haoni kundul*, nyie chadomo pua zilivyotanuka hamjioni?Sasa mbona pua zinawatanuka kutaka aachie ngazi