Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,095
- 828,911
Kweli mwaka 2025 utatuachia kumbukumbu nyingi Sana!
Kwa kawaida na kwa mazoea ya miaka yote kipindi hiki cha sherehe za Christmas na mwaka mpya ni kipindi cha shamrashamra na vibes za kila aina hasa kutoka kwa wasanii wetu
Ni kipindi ambacho radio na tv zinashindana kutangaza matamasha ya wasanii kwenye fukwe za bahari, hotel maarufu, na kumbi mbali mbali za starehe
Ni kipindi ambacho nguzo za umeme na maeneo mengine huchafuka mabandiko ya matangazo ya wasanii ku perform wali na wali huku viingilio vikiwekwa wazi
Ni kipindi ambacho sehemu mbalimbali huteuliwa na kutangazwa kaka maeneo ya kuuzia tickets za viingilio ili kuwarahisishia wapenzi na mashabiki upatikanaji
Leo ni tarehe 24 December siku iliyotarajiwa kuwa na matamasha ya ufunguzi lakini kila nilikopita mitaani na mitandaoni kuko kimya.. Nywiii.. Nywinywinywi kabisa
Watanganyika wameamua kubana bajeti au ndio haya mambo na nongwa za Gen Z?
Kwa kawaida na kwa mazoea ya miaka yote kipindi hiki cha sherehe za Christmas na mwaka mpya ni kipindi cha shamrashamra na vibes za kila aina hasa kutoka kwa wasanii wetu
Ni kipindi ambacho radio na tv zinashindana kutangaza matamasha ya wasanii kwenye fukwe za bahari, hotel maarufu, na kumbi mbali mbali za starehe
Ni kipindi ambacho nguzo za umeme na maeneo mengine huchafuka mabandiko ya matangazo ya wasanii ku perform wali na wali huku viingilio vikiwekwa wazi
Ni kipindi ambacho sehemu mbalimbali huteuliwa na kutangazwa kaka maeneo ya kuuzia tickets za viingilio ili kuwarahisishia wapenzi na mashabiki upatikanaji
Leo ni tarehe 24 December siku iliyotarajiwa kuwa na matamasha ya ufunguzi lakini kila nilikopita mitaani na mitandaoni kuko kimya.. Nywiii.. Nywinywinywi kabisa
Watanganyika wameamua kubana bajeti au ndio haya mambo na nongwa za Gen Z?