iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,927
Tanzania hutegemea zaidi sekta ya kilimo izalishe na kisha mazao hayo yapelekwe nje ya nchi.Mazao hayo yakisafirishwa hulipatia taifa fedha za kigeni na pia huvuta makampuni kununua mazao husika
Pia halmashauri hutegemea tozo mbalimbali za mazao ya kilimo ili kujipatia mapato.
Kwa tathmini fupi,kutokana na ukame, asilimia kubwa ya wananchi hawajalima pamba,zao hili tegemeo kanda ya ziwa,litauacha ukanda huo ukiwa na hali ngumu kupindukia kiuchumi,jinery nyingi,karibu asilimia 95 hazitafanya kazi ya kuchambua pamba,kwa uwiano huo huo serikali itakosa mapato
Wananchi hawajalima mpunga,mahindi,karanga,dengu,kutokana na ukame,mpaka sasa bei ya sembe ni Tsh 2000,ikifika mwezi wa tano itakuwa ni kilio kikuu,sembe itauzwa kati ya 2500 na 5000
Tunataraji Bajeti ijayo utakuja na mifumo ya kukopa zaidi na kuwapigia magoti wahisani.
Tukumbuke kilimo kinaajiri asilimia 80 ya watanzania,kwa nchi,kama asilimia 80 imeshindwa kuzalisha kutokana na ukame ni hatari kubwa sana,purchasing power itashuka kwa asilimia 80!!
Ole bado inakuja .....huyo ni Bundi mmoja tu katoka,wapo wengine watatu na nusu wanasubiri
Pia halmashauri hutegemea tozo mbalimbali za mazao ya kilimo ili kujipatia mapato.
Kwa tathmini fupi,kutokana na ukame, asilimia kubwa ya wananchi hawajalima pamba,zao hili tegemeo kanda ya ziwa,litauacha ukanda huo ukiwa na hali ngumu kupindukia kiuchumi,jinery nyingi,karibu asilimia 95 hazitafanya kazi ya kuchambua pamba,kwa uwiano huo huo serikali itakosa mapato
Wananchi hawajalima mpunga,mahindi,karanga,dengu,kutokana na ukame,mpaka sasa bei ya sembe ni Tsh 2000,ikifika mwezi wa tano itakuwa ni kilio kikuu,sembe itauzwa kati ya 2500 na 5000
Tunataraji Bajeti ijayo utakuja na mifumo ya kukopa zaidi na kuwapigia magoti wahisani.
Tukumbuke kilimo kinaajiri asilimia 80 ya watanzania,kwa nchi,kama asilimia 80 imeshindwa kuzalisha kutokana na ukame ni hatari kubwa sana,purchasing power itashuka kwa asilimia 80!!
Ole bado inakuja .....huyo ni Bundi mmoja tu katoka,wapo wengine watatu na nusu wanasubiri