Satuuuu
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,849
- 1,993
Habari zenu wadau
Katika kujilinda zaidi na balaa la ukame majirani zetu nchini Kenya wanafikiri kuzifunga sehemu zote za kuoshea magari katika jiji la Nairobi na hasa wale wanaotumia maji toka bomba kuu la serikali.
Pongezi kwenu wakuu kwa kuwa makini na kuikubali hali halisi ya kimazingira.
Source
......Radio.....
Katika kujilinda zaidi na balaa la ukame majirani zetu nchini Kenya wanafikiri kuzifunga sehemu zote za kuoshea magari katika jiji la Nairobi na hasa wale wanaotumia maji toka bomba kuu la serikali.
Pongezi kwenu wakuu kwa kuwa makini na kuikubali hali halisi ya kimazingira.
Source
......Radio.....