Ukakasi mzito shambulizi la Tundu Antipass Lissu

prince22

Senior Member
May 8, 2015
188
217
Kwanza naomba kudeclare interest mimi Sio mwanachama au muumini wa chama chochote cha siasa.

Kumekuwa na sintofahamu juu ya jaribio la mauaji kwa ndugu yetu Tundu Antipass Lissu. Lakini kuna mambo yanayoleta ukakasi zaidi

1. Serikali kukataa kumtibu lissu kwa Madai kuwa aende muhimbili hali iliyolazimu watu kujichanga fedha kwa akili ya matibabu.

2. Serikali kupiga marufuku ibada za kumuombea Lissu ni jambo lililoshangaza watanzania tumekuwa na utamaduni wa kufanyiana maombi katika mambo mengi iweje hili la kumuombea huyu bwana likatazwe kwa nguvu zote. Ilipotamkwa albadili itasomwa kuna watu walihaha sana.

3. Kukataza kwa nguvu zote t-shirt zilizoandikwa pray for Lissu ile hali mtaani zinavaliwa t-shirt zenye maneno mengi ya kihuni. Kwanini iwe jinai kuvaa zilizoandikwa pray for lissu.

4. Kukamatwa kwa watu walioenda kuchangia damu kisa ni wafuasi wa Chadema ilikuwa ni kwa faida ya nani!?

5. Kukataa kwa nguvu zote vyombo vya uchunguzi vya kimataifa kuwasaka waliommiminia Lissu risasi. Mimi nadhani Serikali kupitia jeshi la polisi ingeendelea na uchunguzi halafu wakaruhusu Chadema nao kuendelea na uchunguzi pia. Lakn hili linawapa hofu watawala
 
Kumekuwa na sintofahamu juu ya jaribio la mauaji kwa ndugu yetu Tundu Antipass Lissu. Lakini kuna mambo yanayoleta ukakasi zaidi

1. Serikali kukataa kumtibu lissu kwa Madai kuwa aende muhimbili hali iliyolazimu watu kujichanga fedha kwa akili ya matibabu.

2. Serikali kupiga marufuku ibada za kumuombea Lissu ni jambo lililoshangaza watanzania tumekuwa na utamaduni wa kufanyiana maombi katika mambo mengi iweje hili la kumuombea huyu bwana likatazwe kwa nguvu zote. Ilipotamkwa albadili itasomwa kuna watu walihaha sana.

3. Kukataza kwa nguvu zote t-shirt zilizoandikwa pray for Lissu ile hali mtaani zinavaliwa t-shirt zenye maneno mengi ya kihuni. Kwanini iwe jinai kuvaa zilizoandikwa pray for lissu.

4. Kukamatwa kwa watu walioenda kuchangia damu kisa ni wafuasi wa Chadema ilikuwa ni kwa faida ya nani!?

5. Kukataa kwa nguvu zote vyombo vya uchunguzi vya kimataifa kuwasaka waliommiminia Lissu risasi.
Tatizo la cdm kila jambo wao ni mtaji wa kisiasa
 
Ukishakuwa kwenye Taifa linaloona chuki,visasi na Ubaguzi ndiyo uongozi bora basi ujue yote ya wasiojulikana kuwajua wanaojulikama kwa sababu ya kukosoa basi ujue hakuna mwenye hekima wala Busara
 
Tatizo la cdm kila jambo wao ni mtaji wa kisiasa

Tunatakiwa kwa sauti moja tukemee upumbavu wowote wa kumwaga damu ya Mtanzania yeyote kwa sababu zozote za kipumbavu.

Hakuna mwenye miliki ya Tanzania. Hakuna Tanzania ya CCM wala Magufuli.Hawa wawili wote waliikuta Tanzania na wataiacha.

Tunatakiwa kuulinda Umoja wetu tusikubali yeyote kwa namna yeyote kutufundisha Chuki au uasui kati yetu Upinzani siyo uadui na wala kuwa upinzani si maana yake kuwa msaliti.Wasaliti ni wale wanaoturudisha nyuma kwa kutuibia raslimali zetu na stahiki yao si kuuawa Bali kuchukuliwa hatia za kisheria
 
U
Tatizo la cdm kila jambo wao ni mtaji wa kisiasa
Unapo ongoza njia inabidi uijue sawa sawa usipoijua waombe majirani wakuelekeze usipofanya hivyo unaweza kupotea ukarudi giza limetanda hakuna wakukupa msaada. Tembea ukijitambua
 
Kwanza naomba kudeclare interest mimi Sio mwanachama au muumini wa chama chochote cha siasa.

Kumekuwa na sintofahamu juu ya jaribio la mauaji kwa ndugu yetu Tundu Antipass Lissu. Lakini kuna mambo yanayoleta ukakasi zaidi

1. Serikali kukataa kumtibu lissu kwa Madai kuwa aende muhimbili hali iliyolazimu watu kujichanga fedha kwa akili ya matibabu.

2. Serikali kupiga marufuku ibada za kumuombea Lissu ni jambo lililoshangaza watanzania tumekuwa na utamaduni wa kufanyiana maombi katika mambo mengi iweje hili la kumuombea huyu bwana likatazwe kwa nguvu zote. Ilipotamkwa albadili itasomwa kuna watu walihaha sana.

3. Kukataza kwa nguvu zote t-shirt zilizoandikwa pray for Lissu ile hali mtaani zinavaliwa t-shirt zenye maneno mengi ya kihuni. Kwanini iwe jinai kuvaa zilizoandikwa pray for lissu.

4. Kukamatwa kwa watu walioenda kuchangia damu kisa ni wafuasi wa Chadema ilikuwa ni kwa faida ya nani!?

5. Kukataa kwa nguvu zote vyombo vya uchunguzi vya kimataifa kuwasaka waliommiminia Lissu risasi.
Hili sakata nalifananisha sana na hii picha.. Yani kila nikiiangalia haiishi kunipa majibu mujarabu
dog-whining-biting-tail-03-600x600.jpg
 
Anatuharibia nchi yetu kwa chuki zake za kutisha vitisho na visasi ambavyo sasa vimefikia kutoa roho za Watanzania Ben Saanane na Lissu ambaye yuko hai kwa kudra za Mwenyezi Mungu, Hofu imetanda nchi nzima kwa matukio ya kutisha sehemu nyingi nchini.

Silipendi hili lijamaa, basi tu
 
Kwanza naomba kudeclare interest mimi Sio mwanachama au muumini wa chama chochote cha siasa.

Kumekuwa na sintofahamu juu ya jaribio la mauaji kwa ndugu yetu Tundu Antipass Lissu. Lakini kuna mambo yanayoleta ukakasi zaidi

1. Serikali kukataa kumtibu lissu kwa Madai kuwa aende muhimbili hali iliyolazimu watu kujichanga fedha kwa akili ya matibabu.

2. Serikali kupiga marufuku ibada za kumuombea Lissu ni jambo lililoshangaza watanzania tumekuwa na utamaduni wa kufanyiana maombi katika mambo mengi iweje hili la kumuombea huyu bwana likatazwe kwa nguvu zote. Ilipotamkwa albadili itasomwa kuna watu walihaha sana.

3. Kukataza kwa nguvu zote t-shirt zilizoandikwa pray for Lissu ile hali mtaani zinavaliwa t-shirt zenye maneno mengi ya kihuni. Kwanini iwe jinai kuvaa zilizoandikwa pray for lissu.

4. Kukamatwa kwa watu walioenda kuchangia damu kisa ni wafuasi wa Chadema ilikuwa ni kwa faida ya nani!?

5. Kukataa kwa nguvu zote vyombo vya uchunguzi vya kimataifa kuwasaka waliommiminia Lissu risasi. Mimi nadhani Serikali kupitia jeshi la polisi ingeendelea na uchunguzi halafu wakaruhusu Chadema nao kuendelea na uchunguzi pia. Lakn hili linawapa hofu watawala


Kwani Tundu Lisu ni Babako? Nikikuuliza ni lini mara ya mwisho ulimwambia Babako, ,,Baba Nakupenda" jibu ni 0, lkn leo unajifanya una uchungu sana na mtu baki na kujifanya unamjua sana Mungu, unafikiri hii Dunia imeanza jana? Mpende kwanza Babako ni muhimu zaidi!
 
Anatuharibia nchi yetu kwa chuki zake za kutisha vitisho na visasi ambavyo sasa vimefikia kutoa roho za Watanzania Ben Saanane na Lissu ambaye yuko hai kwa kudra za Mwenyezi Mungu, Hofu imetanda nchi nzima kwa matukio ya kutisha sehemu nyingi nchini.
Kabisa mkuu, hatuna kiongozi tuna mtawala wa ki-imla!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwani Tundu Lisu ni Babako? Nikikuuliza ni lini mara ya mwisho ulimwambia Babako, ,,Baba Nakupenda" jibu ni 0, lkn leo unajifanya una uchungu sana na mtu baki na kujifanya unamjua sana Mungu, unafikiri hii Dunia imeanza jana? Mpende kwanza Babako ni muhimu zaidi!
Tulia na mumeo huko wewe mammalia usilete shombo za mapenzi hapa nyambaf
 
Nilichomwelewa Mbowe jana ni hivi kama kweli Serikali inaumia na lilomkuta Lissu iundwe tume huru ya uchunguzi wa ndani au wa nje. Ina maana ktk hili ni mtego mkubwa kwa Serikali wasipofanya hili ni nani atahusishwa zaidi ya kuonekana ni mpango uliopangwa kwa malengo wanayoyajua.

Ee Mwenyezi Mungu nakuomba Umponye Lissu
 
Nilichomwelewa Mbowe jana ni hivi kama kweli Serikali inaumia na lilomkuta Lissu iundwe tume huru ya uchunguzi wa ndani au wa nje. Ina maana ktk hili ni mtego mkubwa kwa Serikali wasipofanya hili ni nani atahusishwa zaidi ya kuonekana ni mpango uliopangwa kwa malengo wanayoyajua.

Ee Mwenyezi Mungu nakuomba Umponye Lissu
Hii ngumu kumesa
 
Back
Top Bottom