Ukabila

Gaffer

Member
Jun 1, 2011
10
1
How did Tanzania overcome this disease? Ninasoma hapo wikipedia ati more than 120 ethnic groups and still no tribalism. Is it the Nyerere effect? Just a hypothesis.
 
How did Tanzania overcome this disease? Ninasoma hapo wikipedia ati more than 120 ethnic groups and still no tribalism. Is it the Nyerere effect? Just a hypothesis.

Sasa hivi ndio kumekucha, hilo linaibuka kwa kasi naona makundi ya makabila yanaibuka kila kukicha
 
Kama kichwa cha habari ni kiswahili basi na
habari yenyewe iwe ya kiswahili,nyie watanzania vipi?
Kiingereza chenyewe hamjui afu kuswanglish kwa kwenda mbele!!
 
Kama kichwa cha habari ni kiswahili basi na
habari yenyewe iwe ya kiswahili,nyie watanzania vipi?
Kiingereza chenyewe hamjui afu kuswanglish kwa kwenda mbele!!

Safi sana, huo ndo Utanzania unaotakiwa kuenzi cha kwetu baba!
 
Kama kichwa cha habari ni kiswahili basi na
habari yenyewe iwe ya kiswahili,nyie watanzania vipi?
Kiingereza chenyewe hamjui afu kuswanglish kwa kwenda mbele!!

wee speaker sikufahamu lakini nafikiri wewe ni mtu serious sana
 
Tukirudi kwenye mada,mi nahisi hata shule za kata zinarudisha ukabila.

Kama umezaliwa mkoa fulani,smsingi hapohapo,secondari kata,hapohapo,ile cross region ya enzi zile unatoka knjaro,formm1 unapelekwa kantalamba sec. n.k(hapa mtakutana watu toka karibu kila mkoa) haipo tena.
 
Tukirudi kwenye mada,mi nahisi hata shule za kata zinarudisha ukabila. Kama umezaliwa mkoa fulani,smsingi hapohapo,secondari kata,hapohapo,ile cross region ya enzi zile unatoka knjaro,formm1 unapelekwa kantalamba sec. n.k(hapa mtakutana watu toka karibu kila mkoa) haipo tena.
ni kweli na chuo cha ualimu/nursing hapo hapo wilayan kwako ukimaliza kituo cha kazi hapo hapo lazima ukabila urudi.
 
Back
Top Bottom