UKABILA utamfanya Zitto ashinde UBUNGE 2015

UKABILA utamfanya Zitto ashinde UBUNGE 2015

Status
Not open for further replies.

swagazetu

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
4,253
Reaction score
1,475
Kwa asili ya waha wa kigoma hasa wale ambao hawajatoka nje ya kigoma uwezo wa kutathimini usaliti wa zzk ni mdogo na wao wana tabia ya kusema"wachu"hili neno wanalitumia kuonesha umoja.

ACT kigoma itachukua muda kuwaingia vichwani maana si wafuatiliaji wa mambo ila wakisha elewa hawayumbi hivyo kusema eti ACT itanadiwa kigoma kwa kiasi cha kumpa ushindi ZZK 2015 ni ndoto na haiwezekani.
Ukiangalia kigoma ni kundi dogo sana linalomsapoti zzk kwa sasa nalo ni kwa kigezo cha kuwa kabila moja si kupitia ACT hawaitambui na wanachotambua ni chadema tu japo kuwa kabila moja kwao ni zaidi ya chama.


ZZK atawashawishi kwa kigezo cha kuwa"omwana wanyu"yaani mi mtoto wenu msiniangushe.
maneno hayo nimeyapata sehemy moja inaitwa mwandiga ktk jimbo la zzk nilipokuwa nikihoji nafasi ya zzk ktk uchaguzi mkuu ujao,hakuna aliyesema zzk si msaliti la hasha!!wanakubali ila wanasema "Omwana wacu" yaani mtoto wetu.

Watu wa kigoma mnamkumbuka Aman W.Kabour?aliwafanyia nini?

Zindukeni.
 
Kwa asili ya waha wa kigoma hasa wale ambao hawajatoka nje ya kigoma uwezo wa kutathimini usaliti wa zzk ni mdogo na wao wana tabia ya kusema"wachu"hili neno wanalitumia kuonesha umoja.

ZZK atawashawishi kwa kigezo cha kuwa"omwana wanyu"yaani mi mtoto wenu msiniangushe.
maneno hayo nimeyapata sehemy moja inaitwa mwandiga ktk jimbo la zzk nilipokuwa nikihoji nafasi ya zzk ktk uchaguzi mkuu ujao,hakuna aliyesema zzk si msaliti la hasha!!wanakubali ila wanasema "Omwana wacu" yaani mtoto wetu.

Watu wa kigoma mnamkumbuka Aman W.Kabour?aliwafanyia nini?

Zindukeni.

Unataka wasimchague Zzk halafu wamchague nani? Ushatathmin huyo wa kumchagua ana mambo yepi ya kuwafanyia wana kigoma na watanzania kupita mchango wa Zzk?. Au ni siasa za chuki tu unaleta?
 
Unataka wasimchague Zzk halafu wamchague nani? Ushatathmin huyo wa kumchagua ana mambo yepi ya kuwafanyia wana kigoma na watanzania kupita mchango wa Zzk?. Au ni siasa za chuki tu unaleta?

Huo ni uchunguzi mfupi tuu siongezi na sipunguzi huo ndo ukweli.ukienda jimboni kwake watu hawatoi maelezo ya kisiasa wala mafanikio ila maelezo ya kuwa kabila moja.
 
kwa asili ya waha wa kigoma hasa wale ambao hawajatoka nje ya kigoma uwezo wa kutathimini usaliti wa zzk ni mdogo na wao wana tabia ya kusema"wachu"hili neno wanalitumia kuonesha umoja.

Act kigoma itachukua muda kuwaingia vichwani maana si wafuatiliaji wa mambo ila wakisha elewa hawayumbi hivyo kusema eti act itanadiwa kigoma kwa kiasi cha kumpa ushindi zzk 2015 ni ndoto na haiwezekani.
Ukiangalia kigoma ni kundi dogo sana linalomsapoti zzk kwa sasa nalo ni kwa kigezo cha kuwa kabila moja si kupitia act hawaitambui na wanachotambua ni chadema tu japo kuwa kabila moja kwao ni zaidi ya chama.


Zzk atawashawishi kwa kigezo cha kuwa"omwana wanyu"yaani mi mtoto wenu msiniangushe.
Maneno hayo nimeyapata sehemy moja inaitwa mwandiga ktk jimbo la zzk nilipokuwa nikihoji nafasi ya zzk ktk uchaguzi mkuu ujao,hakuna aliyesema zzk si msaliti la hasha!!wanakubali ila wanasema "omwana wacu" yaani mtoto wetu.

Watu wa kigoma mnamkumbuka aman w.kabour?aliwafanyia nini?

Zindukeni.

ndio maana wako nyuma kimaendeleo na wakumbuke kuwa zzk alishasema hatagombea tena ubunge, kama alitegemea kupata urais kapotea hiyo act imeshakufa kifo cha mende
 
Ha ha ha! Kweli kuna uchunguzi na uchunguzi hapa Duniani!

Ninachoamini asilimia kubwa ya vyama vinasimamisha watu wa maeneo husika, so kwa Kigoma kama Zitto atagombea kupitia ACT (kwa sasa ni nadharia), CDM watamsimamisha mtu wa kule kule kigoma "Wacu" pia, vivyo hivyo kwa vyama vingine kama NCCR, CCM, APPPT, PTL, etc etc

Sasa point ya kusema Zitto atashinda kwa sababu yeye ni Wacu ni point ya kipumbavu na woga hasa ukichukulia kwamba atakaoshindana nao ni Wacu pia!
 
Zzk anakubarika sehemu yeyote tanzania hii,sio mdini wala mkabila kama machagadema
 
Kwa asili ya waha wa kigoma hasa wale ambao hawajatoka nje ya kigoma uwezo wa kutathimini usaliti wa zzk ni mdogo na wao wana tabia ya kusema"wachu"hili neno wanalitumia kuonesha umoja.

ACT kigoma itachukua muda kuwaingia vichwani maana si wafuatiliaji wa mambo ila wakisha elewa hawayumbi hivyo kusema eti ACT itanadiwa kigoma kwa kiasi cha kumpa ushindi ZZK 2015 ni ndoto na haiwezekani.
Ukiangalia kigoma ni kundi dogo sana linalomsapoti zzk kwa sasa nalo ni kwa kigezo cha kuwa kabila moja si kupitia ACT hawaitambui na wanachotambua ni chadema tu japo kuwa kabila moja kwao ni zaidi ya chama.


ZZK atawashawishi kwa kigezo cha kuwa"omwana wanyu"yaani mi mtoto wenu msiniangushe.
maneno hayo nimeyapata sehemy moja inaitwa mwandiga ktk jimbo la zzk nilipokuwa nikihoji nafasi ya zzk ktk uchaguzi mkuu ujao,hakuna aliyesema zzk si msaliti la hasha!!wanakubali ila wanasema "Omwana wacu" yaani mtoto wetu.

Watu wa kigoma mnamkumbuka Aman W.Kabour?aliwafanyia nini?

Zindukeni.
Ndugu Zitto aliishatamka kuwa hatagombea ubunge 2015 wewe unasema atashinda ubunge upi? Ninachokitafakati mimi Zitto atakuwa Mwenyekiti wa ACT na hatagombea cheo chochote atajikita kupiga kampeni kwa wagombea wa ACT na atakachokua akikifanya ni kuiponda CDM.
 
Zzk anakubarika sehemu yeyote tanzania hii,sio mdini wala mkabila kama machagadema

Angekuwa anakubarika sehemu yeyote imekuwaje jimboni kwake tu madiwani wa CDM wamepungua tangu alipoingia yeye? Na labda unitajie jimbo ambalo Zitto alisaidia CDM ikapata Ushindi.
 
Kwa asili ya waha wa kigoma hasa wale ambao hawajatoka nje ya kigoma uwezo wa kutathimini usaliti wa zzk ni mdogo na wao wana tabia ya kusema"wachu"hili neno wanalitumia kuonesha umoja.

ACT kigoma itachukua muda kuwaingia vichwani maana si wafuatiliaji wa mambo ila wakisha elewa hawayumbi hivyo kusema eti ACT itanadiwa kigoma kwa kiasi cha kumpa ushindi ZZK 2015 ni ndoto na haiwezekani.
Ukiangalia kigoma ni kundi dogo sana linalomsapoti zzk kwa sasa nalo ni kwa kigezo cha kuwa kabila moja si kupitia ACT hawaitambui na wanachotambua ni chadema tu japo kuwa kabila moja kwao ni zaidi ya chama.


ZZK atawashawishi kwa kigezo cha kuwa"omwana wanyu"yaani mi mtoto wenu msiniangushe.
maneno hayo nimeyapata sehemy moja inaitwa mwandiga ktk jimbo la zzk nilipokuwa nikihoji nafasi ya zzk ktk uchaguzi mkuu ujao,hakuna aliyesema zzk si msaliti la hasha!!wanakubali ila wanasema "Omwana wacu" yaani mtoto wetu.

Watu wa kigoma mnamkumbuka Aman W.Kabour?aliwafanyia nini?

Zindukeni.

Kwani Zitto bado anataka ubunge? Mbona mara kadhaa alishaukataa? Au ni kwa vile ile ndoto ya kuwa rais haiku-tick?
 
Kwa asili ya waha wa kigoma hasa wale ambao hawajatoka nje ya kigoma uwezo wa kutathimini usaliti wa zzk ni mdogo na wao wana tabia ya kusema"wachu"hili neno wanalitumia kuonesha umoja.

ACT kigoma itachukua muda kuwaingia vichwani maana si wafuatiliaji wa mambo ila wakisha elewa hawayumbi hivyo kusema eti ACT itanadiwa kigoma kwa kiasi cha kumpa ushindi ZZK 2015 ni ndoto na haiwezekani.
Ukiangalia kigoma ni kundi dogo sana linalomsapoti zzk kwa sasa nalo ni kwa kigezo cha kuwa kabila moja si kupitia ACT hawaitambui na wanachotambua ni chadema tu japo kuwa kabila moja kwao ni zaidi ya chama.


ZZK atawashawishi kwa kigezo cha kuwa"omwana wanyu"yaani mi mtoto wenu msiniangushe.
maneno hayo nimeyapata sehemy moja inaitwa mwandiga ktk jimbo la zzk nilipokuwa nikihoji nafasi ya zzk ktk uchaguzi mkuu ujao,hakuna aliyesema zzk si msaliti la hasha!!wanakubali ila wanasema "Omwana wacu" yaani mtoto wetu.

Watu wa kigoma mnamkumbuka Aman W.Kabour?aliwafanyia nini?

Zindukeni.

pambafu akili finyu
 
Mleta mada nakuunga mkono hasa kwa ulivyosema kwamba watu wanajua usaliti wa Zitto nikweli tunajua na hata yeye anajua kama tunajua,nikwambie tu kwamba Zitto hawezi kushinda tena Kigoma jimbo lolote na anajua hivyo na ndio maana alitangaza kwamba hatogombea tena Ubunge,rejea Kura alizopata awamu ya pili.Na kuhusu ukabila Kigoma upo Sana wa kikanda Kuna waha wa Manyovu,Kigoma mjini,Kasulu na Kibondo ambao hao wote hawampendi huyu bwana kwasababu ya propaganda zake za Udini alizozitangaza kwenye uchaguzi uliopita hasa akisema Kura za ubunge wamchague yeye naza Urais wamchague Kikwete na baada ya uchaguzi akasema eti Wakristo hawakumchagua,huku akijua sio kweli na jimbo hilo ndio wengi.Tunamsubiri kama anaweza ajaribu tutamfanya kama Kabourou!
 
Kwa asili ya waha wa kigoma hasa wale ambao hawajatoka nje ya kigoma uwezo wa kutathimini usaliti wa zzk ni mdogo na wao wana tabia ya kusema"wachu"hili neno wanalitumia kuonesha umoja.

ACT kigoma itachukua muda kuwaingia vichwani maana si wafuatiliaji wa mambo ila wakisha elewa hawayumbi hivyo kusema eti ACT itanadiwa kigoma kwa kiasi cha kumpa ushindi ZZK 2015 ni ndoto na haiwezekani.
Ukiangalia kigoma ni kundi dogo sana linalomsapoti zzk kwa sasa nalo ni kwa kigezo cha kuwa kabila moja si kupitia ACT hawaitambui na wanachotambua ni chadema tu japo kuwa kabila moja kwao ni zaidi ya chama.


ZZK atawashawishi kwa kigezo cha kuwa"omwana wanyu"yaani mi mtoto wenu msiniangushe.
maneno hayo nimeyapata sehemy moja inaitwa mwandiga ktk jimbo la zzk nilipokuwa nikihoji nafasi ya zzk ktk uchaguzi mkuu ujao,hakuna aliyesema zzk si msaliti la hasha!!wanakubali ila wanasema "Omwana wacu" yaani mtoto wetu.

Watu wa kigoma mnamkumbuka Aman W.Kabour?aliwafanyia nini?

Zindukeni.

Si NDIO Mlivyokuwa Mnataka? Hamjui ya kuwa pia CCM itateseka... LETS WAIT and SEE
 
Zitto ni zaidi ya Mandela ndani ya mkoa wooote wa kigoma,tuombe mungu Rasimu ya warioba ibaki hivihivi ili mikoa igeuke kuwa majimbo ya Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Ni zitto mwenye ushawishi mkoa mzima kutokana na kuipigania kigoma nzima bila ubzaguzi wowote hasa swalala umeme na barabara.
Ndio maana Slaa alieongoza kupata kura nyingi mkoa wa kigoma kuliko mkoa wowote Tanzania,leo hawezi kwenda kigoma bila kulindwa na magari matano yaliyojaa Askari,maana nakumbuka kasulu walimshusha jukwaani kwa mawe na chupa za maji,akaokolewa na Police anaowatukana kila siku.
 
Zitto asipotajwa Magwanda yanalowa.

Zitto ni Mzalendo wa kweli alieamua kuifia nchi na watanzania bila kujali dini,kabila,wala maeneo
 
Kwa asili ya waha wa
kigoma hasa wale ambao hawajatoka nje ya kigoma uwezo wa kutathimini
usaliti wa zzk ni mdogo na wao wana tabia ya kusema"wachu"hili neno
wanalitumia kuonesha umoja.

ACT kigoma itachukua muda kuwaingia vichwani maana si wafuatiliaji wa
mambo ila wakisha elewa hawayumbi hivyo kusema eti ACT itanadiwa kigoma
kwa kiasi cha kumpa ushindi ZZK 2015 ni ndoto na haiwezekani.
Ukiangalia kigoma ni kundi dogo sana linalomsapoti zzk kwa sasa nalo
ni kwa kigezo cha kuwa kabila moja si kupitia ACT hawaitambui na
wanachotambua ni chadema tu japo kuwa kabila moja kwao ni zaidi ya
chama.


ZZK atawashawishi kwa kigezo cha kuwa"omwana wanyu"yaani mi mtoto wenu
msiniangushe.
maneno hayo nimeyapata sehemy moja inaitwa mwandiga ktk jimbo la zzk
nilipokuwa nikihoji nafasi ya zzk ktk uchaguzi mkuu ujao,hakuna
aliyesema zzk si msaliti la hasha!!wanakubali ila wanasema "Omwana wacu"
yaani mtoto wetu.

Watu wa kigoma mnamkumbuka Aman W.Kabour?aliwafanyia nini?

Zindukeni.
Wivu wa KIKE-by Pius Msekwa
 
Zitto ni zaidi ya Mandela ndani ya mkoa wooote wa kigoma,tuombe mungu Rasimu ya warioba ibaki hivihivi ili mikoa igeuke kuwa majimbo ya Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Ni zitto mwenye ushawishi mkoa mzima kutokana na kuipigania kigoma nzima bila ubzaguzi wowote hasa swalala umeme na barabara.
Ndio maana Slaa alieongoza kupata kura nyingi mkoa wa kigoma kuliko mkoa wowote Tanzania,leo hawezi kwenda kigoma bila kulindwa na magari matano yaliyojaa Askari,maana nakumbuka kasulu walimshusha jukwaani kwa mawe na chupa za maji,akaokolewa na Police anaowatukana kila siku.

Panda juu usome maelezo ya jakobo
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom