Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
- Thread starter
- #41
Ohoooo, apo Caroline ndo unapokosea. Wataje hao watu basi na tuwajue ni akina nani wanaoshangilia jinsi tiGO ilivyo tamu! Nadhani tatizo zio utamu wa tiGO au la bali ni namna gani hawa "wafadhili" sasa wanaweka masharti flani ambayo ukiangalia vizuri hayana tija kwa maendeleo ya nchi. Nakubaliana nawe kwamba ni jukumu letu kuleta maendeleo na sio kukubali kuwa watumwa wa "misaada"!...Kuna watu siwataji kwa majina wanajisifia humu ndani jinsi tiGO ilivyo tamu, na hao ni wazungu wamewalazimisha?