Achahasira
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,213
- 214
Sidhani kama mungu ataibariki tanzania au africa, sana sana ataipiga laana. Kinachofuatia sasa ni wafadhili kulazimisha serikali za kiafrica lazima ziwe na mawaziri mashoga kabla hawajapata misaada. Huko ndo tunakoelekea, trust me!
mkuu mambo yanapoenda tunajuwa wenyewe.maana ulaya mwanaume kuoa wanawake wengi ni tatizo lkn gays ni haki! dunia hii inaelekea sehemu mbaya kweli.lkn maneno yako ya kweli.