UK yataka Tanzania na nchi zinazoendelea zitambue haki za mashoga

Wallah hawa jamaa ni wabaya yaani wanataka tupigane mijegejo hiv hivi aisee kama ni misaada waikate tu lakini kupigana mijegejo ni zaidi ya kufuru
 
Wapeleke upuuzi wao kwingine. Hatuhitaji masharti ya kipumbavu. Mugabe ndo kiboko yao, alisema huko nyuma serekali ya uingereza inaendeshawa na mashoga!
 
Haki zao zinatambuliwa kwa matendo siyo lazima uwekwe waraka, hivi ni shoga gani aliwahi kulalamika kwamba hapati ushirikiano???
 
niukweli usiopingika tatizo la mashoga kubwa kuliko tunavyofikri kuna watu wengi sana wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja haijalishi ameoa au la..na mbaya zaidi wengine wanafamilia na wanafanya kazi nzuri sana lakini wanafanya kwa siri kubwa sana..sasa sijui tufanyaje?

Niliuliza hapo juzi kuwa hivi ni kweli hakuna mashoga Tanzania? Kuna tabia ya kinafiki sana ya watu kujidai watakatifu kwamba ushoga ni mambo ya kizungu, wakati huku mtaani wapo.
 
Napendekeza jah kaya man awe wa kwanza kuwa shoga, maana yeye ndio ombaomba namba moja, na alisema kwa kinywa chake kuwa asiposafiri kwenda ulaya kuomba msaada eti tutakufa njaa.
Nyanoko
 
Niliuliza hapo juzi kuwa hivi ni kweli hakuna mashoga Tanzania? Kuna tabia ya kinafiki sana ya watu kujidai watakatifu kwamba ushoga ni mambo ya kizungu, wakati huku mtaani wapo.

FJM = Faraji Jakaya Mrisho.
Endelea kuongea tunakusikiliza tu
 
Dah! Hata kulawiti imeshakuwa ni haki ya binadamu!!!!! Si ajabu miaka michache ijayo kutakuwa na "haki za binadamu" pia za wanaotaka kujamiiana na watoto/wanyama. Msitushinikize kuukubali uhayawani ambao unaruhusiwa katika nchi zenu.
m
mbona nchi zetu watoto wanaolewa sana na wanaharakati wakipiga kelele wanawashangaa! tukemee ndoa za watoto kama tunavyokemea ushoga othewise sina shida na watu wazima wa2 wakiamua kuwa mashoga its their choice but kwa watoto kuolewa na watu wazima nitakemea mpk kufa kwa kuwa watoto hawawezi jitetea!
 
ENGLAND BEHIND THE WAR AGAINST GOD

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameroon ametangaza nia na determination ya nchi yake kupambana na Mungu. David anasema kwamba sasa ni lazima kwa kila nchi kutambua HAKI ZA MASHOGA. Tangazo hilo linaambatana na vitisho vya kusitisha misaada katika bajeti za nchi zote zitakazo kaidi agizo hilo. Nchi ya Malawi imekwisha anza kuonja joto ya jiwe kwa kukataa waziwazi kutambua USHETANI HUO. Nchi nyingine zilize katika pipe line ni pamoja ni Uganda, Ghana na Algeria ambazo zimeonesha dhahiri kukataa USHETANI wa kutambua haki za mashoga.

Uganda wao wanatishiwa kukabiliwa na makakati kata mirija ya misaada, ni baada ya wananchi kumpiga mpaka kumuua mwana harakati David Kato kwa hatua yake ya kutete ushoga. Mimi nina wapongeza waganda, na naomba watanzania kuchukua hatua hizo kwa washenzi watakao amua kuuza utu wetu, wao, na watoto wetu kwa kutetea ushenzi, eti kisa misaada. Pia nawaomba watanzania kuwanyima kura wanasiasa wote ambao watatetea USHENZI MKUBWA HUU.

David ameiambia BBC kwamba amesisitiza katika mkutano wa nchi wanachama wa Jumuia ya Madola, ikiwemo Tanzania, kuanza mara moja mchakato wa kuzitambua HAKI NA NDOA ZA WATU WA JINSIA MOJA, at the threat of aid cut down for none compliance.

Binafsi nashangaa kitendo cha kutetea ushoga katika misingi ya haki za binadamu. Kwa elimu yangu ndogo ya Jurisprudence na Human Rights, haki za binadamu zinatambulika kama natural law, or in born. If the Human Rights stem from the law of nature, why advocate for same sex relations which is against nature. Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania, kama ilivyo fanyiwa marejeo 2002, imejijenga katika misingi hiyo juu ya suala la Ushoga. soma kifungu cha 154,

154. Unnatural offences Ord. No. 47 of 1954 s. 3; Act No. 4 of 1998 s. 16
(1) Any person who–
(a) has carnal knowledge of any person against the order of nature; or
(b) has carnal knowledge of an animal; or
(c) permits a male person to have carnal knowledge of him or her against the order of nature, commits an offence, and is liable to imprisonment for life and in any case to imprisonment for a term of not less than thirty years.
(2) Where the offence under subsection (1) of this section is committed to a child under the age of ten years the offender shall be sentenced to life imprisonment.

Kafiri la kizungu likiona kifungu hiki baada ya miaka miwili ijayo, tutakula nyasi, tutajitibu na mwarubaini, maandamano ya kukosa ajira, na machafuko mengine. The clever devils are very notorious, they are taking our minerals, we have become dependent upon them now they want to decide for us that we welcome Sodom. Huu ni ushenzi. Kazi kwenu kuuza namba witiri zenu mpate pesa au mjilinde heshima yenu na imani yane katika Mungu na kuinyimwa misaada, there is no middle ground.

David Cameroon is said to be a Freemason, "Devil Worshiper" ambao wana pray role kubwa kuupeleka ulimwengu katika the New World Order. Hawa jamaa wameshikilia uchumi wa dunia. Wakitikisa kidogo tu uchumi unayumba tutalazimika sio tu kukubali ushoga bali hata kuipokea chapa ya mnyama;
Revelation 13

[SUP]15[/SUP] The second beast was given power to give breath to the image of the first beast, so that the image could speak and cause all who refused to worship the image to be killed. [SUP]16[/SUP] It also forced all people, great and small, rich and poor, free and slave, to receive a mark on their right hands or on their foreheads, [SUP]17[/SUP] so that they could not buy or sell unless they had the mark, which is the name of the beast or the number of its name.



Mpango mwingine mahasusi towards the NWO ni katika agenda ya kuhifadhi mazingira. Mwakani David Cameroon anatarajiwa kutoa tamko la hifadhi mazingira ambalo ndani yake kuna siri nzito.

The evil westerners are doing whatever it takes to weeken our economies to make us cling to their direction. Trust me SERIKALI YETU ITAPISHA SHERI YA KUWALINDA MASHOGA, it must go into the knees. Inabakia hoja ya kila mtu mmoja mmoja kujichunguza nafsi yake.

Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu Ibariki Afrika,
Mungu Irehemu Afrika....
 
HUYU KIONGOZI NAYE NI MUUMINI WA MAMBO HAYO? kWA NINI ANAWATETEA KIASI HICHO! AU ANA KAJAMAA KAKE HUKU AFRICA!

HAPA NDIPO AFRICA INAHITAJI KUUNGANISHA NGUVU NA KUPINGA MAMBO HAYA KABISA! "MANENO YA GADAFI YATAKUMBUKWA TU!

 
jamaa akirudi hakawii kuidhinisha kitu hii....muoga sana yule
 
Hii ndiyo komesha ya viongozi wanaozurura dunia nzima wakiomba omba, viongozi wengi hapa hawachomoki, ni lazima Cameron atawapiga mabusu ndipo wapewe mapesa.

Misingi ya taifa kujitegemea ingefuatwa Cameron angepata wapi kiburi cha fedheha namna hii alivyowatukana viongozi wa jumuia ya madola?
 
Mi hata sijui wanasitisha misaada gani maana sioni chochote. Kama huwa wanatusaidia basi waache tu lakini SAY NO TO USHOGA sidhani kama tutakufa njaa kwa kukataa haki za washoga
 
Kwani sisi ni maskini wa nn jamani mbona tunaendekeza haya mambo ndo maana wanakua na kauli yyte ile juu yetu. Ni bora tukatae ili wao wasije kuchimba madini huku kwetu kwanza dawa za mitishamba ndo nzuri hazina chermical za kwao mbona wanaleta zishaexpired ndo zinachangia kutuua hv sera ya freemason bado ishaikumba dunia, wameibuka na ushoga au hao wazungu wana mbingu ya kwao baada ya kufa.

Eee Mungu ...tunusuru kwa hili hakuna hata kitabu kimoja cha dini si uislamu wala ukristo unaoruhusu mwanaume kwa mwanaume kuoana
hizo ni njama za kuvuruga hii dunia.

Ule mpango wa biblia wa 666 naona unakaribia sasa
 
Hawa wazungu ni hamnazo kabisaaa, Tunahitaji kiongozi na wananchi wazlendo kupinga jambo hili, Hatuna haja na misaada yao kwanza haitusaidii chochote zaidi yakuwa watumwa.

UK ondokeni na misaada yenu na ushoga wenu, pumbavu kabisa
 
UK yataka Tanzania itambue haki za mashoga
PERTH, Australia UINGEREZA imetoa shinikizo la kutambua haki za mashoga kwa nchi zinazoendelea na kutishia kusitisha misaada yake kwa nchi zinazokiuka agizo hilo. Waziri Mkuu David Cameron amesema Uingereza ina mpango ya kusitisha misaada yake kwa nchi ambazo sheria zake hazitambui ndoa za jinsia moja na mashoga.

"Nimeshawajulisha baadhi ya wakuu wa nchi kuhusu suala hilo kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Madola unaofanyika jijini Perth, Australia," alisema Cameron kupitia BBC.Nchi 41 kati ya nchi 54 wanachama wa Jumuiya ya Madola, zina sheria zinazopinga ndoa za jinsia moja.

Suala la haki za binadamu ni moja ya agenda ambazo viongozi kadhaa walishindwa kuafikiana katika mkutano huo ambao rais Kikwete pia alihudhuria. Cameron alisema: "Tunasema hii ni moja ya vitu vinavyoongoza sera yetu ya misaada kwa mataifa mbalimbali na tayari tumeanza kuitekeleza katika maeneo kadhaa," alisema.

Aliendelea: "Nchi zote zinazopata misaada kutoka kwetu (Uingereza), zinapaswa kukubaliana kikamilifu na sera hii ya haki za binadamu," alisema. Cameron alisema ameshazungumza na nchi mbalimbali za Afrika kuhusu suala hilo na utekelezaji wake utafanywa na Waziri wa Mambo ya Nje ya nchi hiyo, William Hague.
Kukomesha vizuizi vya ndoa ya jinsia moja, ilikuwa moja ya mapendekezo yaliyomo katika ripoti ya ndani ya matarajio ya baadaye ya Jumuiya za Madola. Katika mkakati huo, Uingereza imetishia kusitisha sehemu ya misaada ya bajeti kuu kwa nchi zisizokubaliana na msimamo huo lakini imeahidi kwamba haitaondoa bajeti yote.

Nchi ya Malawi imeshaathirika na mpango huo wa Uingereza kwa sehemu ya misaada yake kusitishwa kutokana na misimamo yake kuhusu haki za mashoga. Nchi ambazo huenda zikafuatia hivi karibuni ni Uganda na Ghana. Cameron ameieleza BBC kuwa nchi zinazopokea misaada kutoka Uingereza zinapaswa kuachana na sheria kandamizi. Lakini akaeleza kuwa ingawa sio rahisi nchi kubadilika ghafla, ni bora zikaanza sasa mchakato wa mabadiliko hayo kuliko kuendelea kubweteka.

"Hili ni suala ambalo tunaendelea kulisukuma ili lifanikiwe na tumejiandaa kuwekeza hela pia katika kuhakikisha tunafanikiwa lakini ninashaka kwamba hatuwezi kutegemea mabadiliko hayo kuja mara moja," alisema. Mjadala mzito ulioibuka katika bunge la Uganda mwaka 2009 kuhusu ndoa za mashoga, ni sehemu ya utekelezaji wa sera hiyo ya Uingereza.

Mwaka huu mwanaharakati wa kutetea haki za mashoga nchini Uganda David Kato alipigwa hadi kifo kutokana na kuongoza kampeni hizo. Bunge la Nigeria sasa linaendelea kujadili Muswada wa kuzuia ndoa ya jinsia moja ikiwamo kuweka adhabu kali kwa watu wanaosadia au kuhamishwa kufungwa kwa ndoa hiyo.


Source: Mwananchi
 
Serikali ya Uingereza imesema nchi zote zinazopata msaada kutoka kwao inatakiwa kutambua haki za mashoga (Source vyombo vya habari). Hii ni ishara kwamba Uingereza inataka Tanzania kuwatambua mashoga kwa sababu ni miongoni mwa nchi zinazopata msaada kutoka Uingereza, na haitambui haki za mashoga.

Na hivi karibuni kundi hilo la mabazazi liliibukia TGNP kudai kutambuliwa na katika mpya.
 
Back
Top Bottom