Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Malkia Elizabeth II wa Uingereza na mumewe, Philip wakiwakaribisha Rais Jakaya Kikwete,
Mama Salma Kikwete na Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola
katika dhifa aliyoiandaa kwa ajili ya viongozi hao mjini Perth, Australia.
Ni zipi sababu za msingi kwa nchi zilizokuwa koloni la Mwingereza kuendelea kuhemekea dola ya kifalme ya Uingereza? Ni faida gani nchi hizi zinanufaika kiuchumi na kisiasa zaidi ya kuivimbisha kichwa Uingireza na mfumo wao wa kihierarikia? Kwa nini Uingereza inaendelea kuzing'ang'ania nchi zilizokuwa makoloni yake wakati haitoi misaada ya kimaendeleo na kiuchumi?