UK to send Nuclear Submarine, Commandos to the Gulf

UK to send Nuclear Submarine, Commandos to the Gulf

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
24,717
Reaction score
44,108
Kumekucha..View attachment 1159653
Screenshot_20190722-171430.jpeg
Screenshot_20190722-171448.jpeg
 
Hawa wazungu wanaakili sana! Wanamtumia muIran kwenye vitisho wakijua wazi vita baina yao ni ngumu Lengo ni kuzikalia nchi za wapuuzi Waarabu kwa Cost zao wenyewe! UK ni mtoto sana kwa Iran kwani hana Manpower wala Asset za kumfanya Iran apoteze usingizi zaidi wasishangae hizo Submarine yao ikazamishwa na hao commandos wao wakatekwa km walivotekekwa US marines au makomandoo wa US
 
Kweli bro, Muirani hachezi na mipaka yao, wawe makini sana jamaa hawatishiwi nyau, na hasira zake anaweza akasema ngoja niioneshe Us mfano ili iwe funzo na akafanya kweli, Uk kaingizwa mkenge na Us na yy kaingia, awe makini sana
Watalizamisha hilo, jamaa wasipokuwa makini.. inavyo onekana mu Iran hana utani, ila hao wengine wanatishia nyau
 
UK toka waanze na mambo ya kua na serikari chini ya waziri mkuu, wamefeli Sana..... Enzi za familia ya kifalme ikifanya kila kitu walikua na nguvu Sana
 
Ume andikia makalio au..... Kwamba?? Emu rudia kusoma ulicho andika
Hawa wazungu wanaakili sana! Wanamtumia muIran kwenye vitisho wakijua wazi vita baina yao ni ngumu Lengo ni kuzikalia nchi za wapuuzi Waarabu kwa Cost zao wenyewe! UK ni mtoto sana kwa Iran kwani hana Manpower wala Asset za kumfanya Iran apoteze usingizi zaidi wasishangae hizo Submarine yao ikazamishwa na hao commandos wao wakatekwa km walivotekekwa US marines au makomandoo wa US
 
Hawa wazungu wanaakili sana! Wanamtumia muIran kwenye vitisho wakijua wazi vita baina yao ni ngumu Lengo ni kuzikalia nchi za wapuuzi Waarabu kwa Cost zao wenyewe! UK ni mtoto sana kwa Iran kwani hana Manpower wala Asset za kumfanya Iran apoteze usingizi zaidi wasishangae hizo Submarine yao ikazamishwa na hao commandos wao wakatekwa km walivotekekwa US marines au makomandoo wa US
yaani iran anampiga UK,,
Kwa vichekesho kama hivi bonyeza 1...
 
Hawa wazungu wanaakili sana! Wanamtumia muIran kwenye vitisho wakijua wazi vita baina yao ni ngumu Lengo ni kuzikalia nchi za wapuuzi Waarabu kwa Cost zao wenyewe! UK ni mtoto sana kwa Iran kwani hana Manpower wala Asset za kumfanya Iran apoteze usingizi zaidi wasishangae hizo Submarine yao ikazamishwa na hao commandos wao wakatekwa km walivotekekwa US marines au makomandoo wa US
Ficha aibu yako, story hizi kapigie kwenye vijiwe vya kahawa vya Mwembechai
 
UK mda mwingine hanaga utani anaweza akarusha ngumi kweli hawa jamaa siyo kama America

Japo iran naye siyo wa kimchezo mchezo ila ngoja tuone


Mimi nataman sana vita lika langu hili sijashudia vita kabisa, lakin british mimi nakukubali mzee wa kushawishi

Iran piga konde mwanangu ioneshe dunia kuwa wewe siyo mwarabu na hujalibiwa

British piga huyo ayatollah

Ayatollah set mitambo mpaka malikia aombe poo
 
Vita inaweza kukuathiri mpaka ww mkuu huku
UK mda mwingine hanaga utani anaweza akarusha ngumi kweli hawa jamaa siyo kama America

Japo iran naye siyo wa kimchezo mchezo ila ngoja tuone


Mimi nataman sana vita lika langu hili sijashudia vita kabisa, lakin british mimi nakukubali mzee wa kushawishi

Iran piga konde mwanangu ioneshe dunia kuwa wewe siyo mwarabu na hujalibiwa

British piga huyo ayatollah

Ayatollah set mitambo mpaka malikia aombe poo
 
ni nuclear powered sio nuclear capable,hata hivyo UK hana fleet ya kutisha,tegemeo lao kubwa ni HMS Duncan ambayo ndo inatarajiwa kuingia persian gulf,hata hivyo iran wameshadeploy manowari zao ghuba kwahiyo sio ishu kivile,hiyo submarine ni kubwa haiwezi ingia gulf hakuna kina kirefu cha kuificha hiyo sub
 
ni nuclear powered sio nuclear capable,hata hivyo UK hana fleet ya kutisha,tegemeo lao kubwa ni HMS Duncan ambayo ndo inatarajiwa kuingia persian gulf,hata hivyo iran wameshadeploy manowari zao ghuba kwahiyo sio ishu kivile,hiyo submarine ni kubwa haiwezi ingia gulf hakuna kina kirefu cha kuificha hiyo sub
Kuendana na uwezo wa hiyo Submarine pamoja na Mission wanayoenda kuifanya si lazima waingie kabisa Persian Gulf maana kwa Capabilities za hiyo Sub katika Electronic Warfare hiyo kazi yaweza kufanyika hata nje ya Gulf na ikawa Effectively.kwahiyo ni swala tu la kuisogeza karibu na ghuba, ili kazi ianze. Unless Otherwise!
 
Kwa sasa kama wanajipanga tu maana raia wao awataki vita hila wanasogeza vitendea kazi kwa kisingizio cha kuongeza ulinzi kwenye strait, lakini watakuwa na hidden agenda.

Germany na France pia soon wana tuma meli na wenyewe wanasema wanaenda kuongeza ulinzi; wakishakamilisha jeshi utasikia wanatafuta sababu zingine za kumpa kibano huku wakiwa na nguvu za kutosha kulinda route meli zao za biashara ziingie na kutoka.
 
Dah unanitamanisha sana mkuu kesho asubuhi nikute BBC watu wamezichapa
Kuendana na uwezo wa hiyo Submarine pamoja na Mission wanayoenda kuifanya si lazima waingie kabisa Persian Gulf maana kwa Capabilities za hiyo Sub katika Electronic Warfare hiyo kazi yaweza kufanyika hata nje ya Gulf na ikawa Effectively.kwahiyo ni swala tu la kuisogeza karibu na ghuba, ili kazi ianze. Unless Otherwise!
 
Back
Top Bottom