UK to kick out poor immigrants

UK to kick out poor immigrants

Mkasika

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
391
Reaction score
155
A number of immigrants living and working in the UK risk being kicked out of the country if the British Government effects a new radical immigration policy.

In the tough proposal unveiled on Thursday, foreigners working in the UK will be kicked out after five years if they earn less than Sh 74 million (£31,000) annually.

Read More

UK to kick out poor immigrants  - News |nation.co.ke
 
Sawa tu wanangangania nini kama aiwalipi kubeba box?warudi tu
 
  • Thanks
Reactions: FJM
warudi tubanane huku. go east go west, home is the best.
 
Kama kweli watawafukuza wote maana,Mshahara wa anoanza nayo Polisi ni Pounds 25,000.
Na kazi nyinngi za mtu aliye maliza college ni pounds 18,000 mpaka 22,000.
 
kama kweli watawafukuza wote maana,mshahara wa anoanza nayo polisi ni pounds 25,000.
Na kazi nyinngi za mtu aliye maliza college ni pounds 18,000 mpaka 22,000.

ukiliowa shoga katu hata kama huna kitu hawakufukuzi

kwekwekwewe hhahhhhahhahahahahhhha
 
Bora ujitangaze wewe ubwabwa hawakurudishi NG'O..
 
ukiliowa shoga katu hata kama huna kitu hawakufukuzi

kwekwekwewe hhahhhhahhahahahahhhha
Unapo tunga sheria mpya ndivyo unapo unapo fundisha namna ya kuikwepa hiyo sheria.
 
A number of immigrants living and working in the UK risk being kicked out of the country if the British Government effects a new radical immigration policy.

In the tough proposal unveiled on Thursday, foreigners working in the UK will be kicked out after five years if they earn less than Sh 74 million (£31,000) annually.

Read More

UK to kick out poor immigrants *- News*|nation.co.ke

Hii ndio tunaita kutia hofu.

Haya mabadiliko kwenye idara hii ya uhamiaji ni muhimu na yanafanywa na nchi yoyote duniani ambayo inatunza takwimu zake sawasawa.

Kuna wahamiaji takriban laki nne ambao wanaishi nchini UK kinyume cha sheria.

Halafu kuna wahamiaji ambao ni wakazi wa kudumu ambao asilimia karibu 90 wanafanya kazi kihalali.

Mwisho kuna kundi hili la ambalo ndio limekuwa likifanyiwa tathmini kwamba linaleta matatizo kwenye ustawi wa jamii (welfare) ambao wanaitegemea serikali kwa kila kitu.

Sasa kwa kuwa hata polisi wa UK mshahara wake unaanzia kwenye £23,000 kwa mwaka, sioni mantiki ya wazo hili.

Wanachokisema ni kwamba mhamiaji yeyote anaetaka kuja UK kuanzia mwaka huu kwa lengo la kufanya kazi au kuishi kwa kufuata mkewe au mumewe ni lazima awe ana ajira inayotoa kipato hicho kinachopendekezwa cha £31,000

Ila wale wapiga boksi wote iwe kiwandani au ofisini ambao mna kazi za kudumu na hamtegemei pesa yoyote kutoka serikalini, hakuna haja ya kuwa na wasiwasi ili mradi una makazi ya kudumu na wala haya mambo hayatokugusa kwa namna yoyote ile.

Soma hii:

Under the proposals:
:: Anyone seeking to settle permanently in the UK must be able to earn between £31,000 and £49,000.
:: The visa system will be improved for short-term business visitors and world-class entertainers.
:: A more formal test will be introduced to establish whether marriages are the result of genuine relationships.
:: Husbands, wives or fiances who cannot speak English will be barred from settling in the country.

Kwa habari kamili nenda hapa:

Immigration Minister Damian Green To Say Only 'Brightest And Best' Migrants Allowed To Enter UK | Politics | Sky News
 
Wanaamini uhamiaji ni mzigo kwao,ni kweli wana haki ya kuchagua nani aingie nchini kwao na ni nani asiingie.
 
Hii ndio tunaita kutia hofu.

Haya mabadiliko kwenye idara hii ya uhamiaji ni muhimu na yanafanywa na nchi yoyote duniani ambayo inatunza takwimu zake sawasawa.

Kuna wahamiaji takriban laki nne ambao wanaishi nchini UK kinyume cha sheria.

Halafu kuna wahamiaji ambao ni wakazi wa kudumu ambao asilimia karibu 90 wanafanya kazi kihalali.

Mwisho kuna kundi hili la ambalo ndio limekuwa likifanyiwa tathmini kwamba linaleta matatizo kwenye ustawi wa jamii (welfare) ambao wanaitegemea serikali kwa kila kitu.

Sasa kwa kuwa hata polisi wa UK mshahara wake unaanzia kwenye £23,000 kwa mwaka, sioni mantiki ya wazo hili.

Wanachokisema ni kwamba mhamiaji yeyote anaetaka kuja UK kuanzia mwaka huu kwa lengo la kufanya kazi au kuishi kwa kufuata mkewe au mumewe ni lazima awe ana ajira inayotoa kipato hicho kinachopendekezwa cha £31,000

Ila wale wapiga boksi wote iwe kiwandani au ofisini ambao mna kazi za kudumu na hamtegemei pesa yoyote kutoka serikalini, hakuna haja ya kuwa na wasiwasi ili mradi una makazi ya kudumu na wala haya mambo hayatokugusa kwa namna yoyote ile.

Soma hii:

Under the proposals:
:: Anyone seeking to settle permanently in the UK must be able to earn between £31,000 and £49,000.
:: The visa system will be improved for short-term business visitors and world-class entertainers.
:: A more formal test will be introduced to establish whether marriages are the result of genuine relationships.
:: Husbands, wives or fiances who cannot speak English will be barred from settling in the country.

Kwa habari kamili nenda hapa:

Immigration Minister Damian Green To Say Only 'Brightest And Best' Migrants Allowed To Enter UK | Politics | Sky News

Asante Richard. Watu kama nyinyi ndo dunia inawahitaji.

Masanja
 
Kwa mtazamo wangu,hii haiwezi kuwa affect wabongo kwa wengi.Ni wabongo wangapi wanakwenda UK kwa kupitia work permit au kwa ujumla ni wabongo wangapi wanaishi UK through work permit visas (tier1 or tier2)?

Walengwa ni South Asia;Wanaopewa work permit za kuja kupika tandoori au arranged marriages(spouse visas)
 
Kama kweli watawafukuza wote maana,Mshahara wa anoanza nayo Polisi ni Pounds 25,000.
Na kazi nyinngi za mtu aliye maliza college ni pounds 18,000 mpaka 22,000.
Hauwezi kupewa work permit visa kwa ajili ya kuwa polisi kwa sababu kuna wazawa wengi wanaweza kufill those police and the like vacancies
 
Hao ni unskilled immigrants, hata mimi ningependekeza Tanzania iwafukuze, tuna mijitu kibao unskilled Tanzania, karibu 90%.

Nawaunga mkono Waingereza, yanini kujaza mijitu isiyolipa kodi kiuhakika? wanazidisha umaskini tu.
 
Hauwezi kupewa work permit visa kwa ajili ya kuwa polisi kwa sababu kuna wazawa wengi wanaweza kufill those police and the like vacancies
jaribu kuelewa tunacho ongea.tumetoa mfano wa mishahara,ya watu walio maliza college.hatuja sema polisi ina ajiri wageni.uk unaweza kuwa polisi kama una resident parmit na umetoka nchi zilizo tawaliwa nao.la sivyo lazima uwe raia.

n
 
Back
Top Bottom