Kweli wenzetu wako makini. Upigaji kura ulikwisha saa 4 usiku lakini tayari matokeo yametoka. Afrika kwetu ingechukua mawiki kadhaa kama siyo mwezi. Hivi Tume zetu za uchaguzi zimewahi kujiuliza kwa nini wenzetu wako makini halafu wao wanaacha chaguzi zinaparaganyika na kuzua ghasia na vita vya wenyewe kwa wenyewe?
Wenzetu wako mbali kwenye suala la teknologia na miundombinu.