Acha mawazo finyu mkuu achana na wengine wa jumuia ya madola. Tunaongelea sisi kama watanzania nchi hii ina watu zaidi ya milion 50, wasomi na wasio wasomi, wakulima, wajasiliamali n.k wote wanatafuta fursa. Si rais wetu kila siku anaongea kuhusu swala la fursa sasa hiyo ni nini? Kila akiapisha balozi anasisitiza waende wakalete wawekezaji si ndiyo? Halafu yeye mwenyewe kwenye fursa kama hizo anakaa kandoNchi zote za common wealth afrika zimehudhuria?
Mimi nimeuliza swali wewe unaanza kuni attackAcha mawazo finyu mkuu achana na wengine wa jumuia ya madola. Tunaongelea sisi kama watanzania nchi hii ina watu zaidi ya milion 50, wasomi na wasio wasomi, wakulima, wajasiliamali n.k wote wanatafuta fursa. Si rais wetu kila siku anaongea kuhusu swala la fursa sasa hiyo ni nini? Ndiyo maana tunashindwa hata na Rwanda na hili ni tatizo la watu wenye mawazo kama yako. Hawatolipeleka hili taifa mbali shauri ya muono hafifu.
Haya ni mapambano ya kisiasa na kiuchumi kati ya Umoja wa nchi za Ulaya na Uingereza baada ya kujitoa kwenye Jumuiya ya nchi za Ulaya.
Hoja ya msingi sio kuhudhuria summit bali kuchagua upande wa vita ya kiuchumi kati ya Umoja wa Nchi za Ulaya na Uingereza!
[/QUOWho doesn't want to do trade with UK Or USA In this world , you are having a laugh
Tunakimbizana na nida ujinga mtupu,Nchi 21 za Afrika zimehudhuria
Wawakilishi zaid ya 1500
Miradi ya jumla ya Pauni Bil 6.5 imetangazwa.
Je hatutaki fursa hii na sisi wanachama wa jumuia ya madola? Baada ya Brexit mwezi huu kuna fursa kubwa za biashara na waingereza. Au ni bora inatosha kufanya biashara na wachina tu? Deal kama hizi rais wa nchi anatakiwa awepo kwenye meza ili na Tanzania ipate mgao wa keki yake.
21 African nations
1500+ attendees
£6.5bn of commercial deals announced
View attachment 1328928
Haya ni mapambano ya kisiasa na kiuchumi kati ya Umoja wa nchi za Ulaya na Uingereza baada ya kujitoa kwenye Jumuiya ya nchi za Ulaya.
Hoja ya msingi sio kuhudhuria summit bali kuchagua upande wa vita ya kiuchumi kati ya Umoja wa Nchi za Ulaya na Uingereza!
Nchi zote za common wealth afrika zimehudhuria?
Tunaposema common wealth hua unaelewa nn?Nchi zote za common wealth afrika zimehudhuria?
Lugha gani itatumika ? kama ni kisukuma sawa.
Nchi 21 za Afrika zimehudhuria
Wawakilishi zaid ya 1500
Miradi ya jumla ya Pauni Bil 6.5 imetangazwa.
Je hatutaki fursa hii na sisi wanachama wa jumuia ya madola? Baada ya Brexit mwezi huu kuna fursa kubwa za biashara na waingereza. Au ni bora inatosha kufanya biashara na wachina tu? Deal kama hizi rais wa nchi anatakiwa awepo kwenye meza ili na Tanzania ipate mgao wa keki yake.
21 African nations
1500+ attendees
£6.5bn of commercial deals announced
View attachment 1328928
Bange za nini...Unajua lengo langu kuuliza hilo swali? Nimeuliza ili nijue mataifa gani yaliyohudhuria....with no doubt, mvuta bange utakuwa wewe.
Kwa nini usiende wewe unayeelewekaAcha vituko na wewe, jiwe akienda huko atakwenda kuongea kitu gani kikaeleweka?
Sijaelewa dhima ya swali lako