abudist
JF-Expert Member
- Oct 25, 2009
- 850
- 780
Nchi 21 za Afrika zimehudhuria
Wawakilishi zaid ya 1500
Miradi ya jumla ya Pauni Bil 6.5 imetangazwa.
Je hatutaki fursa hii na sisi wanachama wa jumuia ya madola? Baada ya Brexit mwezi huu kuna fursa kubwa za biashara na waingereza. Au ni bora inatosha kufanya biashara na wachina tu? Deal kama hizi rais wa nchi anatakiwa awepo kwenye meza ili na Tanzania ipate mgao wa keki yake.
Wawakilishi zaid ya 1500
Miradi ya jumla ya Pauni Bil 6.5 imetangazwa.
Je hatutaki fursa hii na sisi wanachama wa jumuia ya madola? Baada ya Brexit mwezi huu kuna fursa kubwa za biashara na waingereza. Au ni bora inatosha kufanya biashara na wachina tu? Deal kama hizi rais wa nchi anatakiwa awepo kwenye meza ili na Tanzania ipate mgao wa keki yake.