martial jb
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 864
- 1,456
Habari wakuu,
Nimeona nije kwenu wakubwa ili kupata mafunzo zaidi kuhusiana na mtandao wa quora ambao ni moja ya visima vya ujuzi na maarifa kwa sasa.
Platform hii ina kila aina ya mada ambayo mtumiaji utataka kuisikia au kuijua na pia ni platform nzuri sana kama itatumika kwa masuala ya kielimu.
Changamoto inakuja jinsi ua kuutumia mtandao huu ndo shida inapoanzia, kuna baadhi ya vitu vinakuwa changamoto kwelikweli mfano;
● Kupata topics zinazoendana na matumizi ya kila siku.
● Kupata majukwaa mbalimbali kama vile Elimu, burudani, michezo etc.
●Jinsi ya kujisajili na kuwa updated kwa habari mbalimbali ndo changamoto kweli kweli.
● Na mengine mengi
Hivyo basi wakuu naomba kwa mwenye ujuzi angalau kidogo juu ya haya mambo atufafanulie tupate darasa
Nimeona nije kwenu wakubwa ili kupata mafunzo zaidi kuhusiana na mtandao wa quora ambao ni moja ya visima vya ujuzi na maarifa kwa sasa.
Platform hii ina kila aina ya mada ambayo mtumiaji utataka kuisikia au kuijua na pia ni platform nzuri sana kama itatumika kwa masuala ya kielimu.
Changamoto inakuja jinsi ua kuutumia mtandao huu ndo shida inapoanzia, kuna baadhi ya vitu vinakuwa changamoto kwelikweli mfano;
● Kupata topics zinazoendana na matumizi ya kila siku.
● Kupata majukwaa mbalimbali kama vile Elimu, burudani, michezo etc.
●Jinsi ya kujisajili na kuwa updated kwa habari mbalimbali ndo changamoto kweli kweli.
● Na mengine mengi
Hivyo basi wakuu naomba kwa mwenye ujuzi angalau kidogo juu ya haya mambo atufafanulie tupate darasa