Ujumbe wangu a leo asubuhi .....

Ujumbe wangu a leo asubuhi .....

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
10898322_881019738617274_6992792387348024460_n.jpg


Kwa wale wasiojuwa Kimombo Ujumbe wangu unasema hivi.

Unapokuwa unazungumza kitu unarudia kusema kitu ambacho unacho kijuwa .Lakini unapokuwa unasikiliza unakuwa unajifunza kitu kipya akilini mwako. DALAI LAMA.

Tuwe watu wenye kusikiliza kila mara tutajifunza mengi.
 
Back
Top Bottom