Ujumbe wa wazi kwa Waziri wa michezo Dokta Harrison Mwakyembe

mjakazi mwema

Member
Oct 8, 2017
96
110
Salaam nyingi zikufikie hapo ulipo na Pole na majukumu yako ya kitaifa.

Napenda kukuomba uwaulize watu wa Boxing, hivi wale mabondia watanzania walio pambana Jana kwenye pambano la Antony Joshua yale mapambano ya utangulizi ni vigezo gani walitumia kuwapeleka?

Mimi Si mtaalam wa Boxing ila naomba promota alie wapeleka na wakafanya Tanzania itajwe tajwe pale na aibu ile naomba kaeni nao siku nyingine wasitu aibishe tena kupeleka watu wasio na uwezo wakati siku ya pambano la Mwakinyo tuliona vipaji vingi tu.

Wizara lisimamieni shirikisho la ngumi kwa karibu kukomesha Aibu ile.
Mwiteni yule promoter ajieleze Yaani mtu kapigwa ngumi moja tu chali na mtungi wa gesi anawekewa.
So
 
Back
Top Bottom