miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
tulikuwa tunaitaga pilao enz hizo
ha ha ha !!!!!!!!
tulikuwa tunaitaga pilao enz hizo
Mi huwaga natamani kwenye simu kungekuwa na kitufe cha dislike ningekitumia kwa watu wanaoandika kwa style hiyo.mtu anaendakika texk na kuweka xx instead ya herufi husika
nashindwaga kumuelewa kabisaaaaaaa
Mi huwaga natamani kwenye simu kungekuwa na kitufe cha dislike ningekitumia kwa watu wanaoandika kwa style hiyo.
sasa huyu ameandika lugha gani?
dot com wa siku hizi ni wavivu hata kuandika kazi wataweza kufanya kweli?
mtu anaendakika texk na kuweka xx instead ya herufi husika
nashindwaga kumuelewa kabisaaaaaaa
mtu anaendakika texk na kuweka xx instead ya herufi husika
nashindwaga kumuelewa kabisaaaaaaa
Kama wewe unajiita wa Mungai basi hauna tofauti na hao wa Mulugo!!!! Mungai ndio chimbuko la kudumaza elimu tanzania ; nadhani alikuwa anafanya hivyo kwa manufaa ya kwao Kenya!!!!mimi siyo nashindwa kumuelewa tu,huwa nakereka sana aisee ila utagundua ni hivi vitoto vya mulugo sisi wa mungai hatuko hivyo kwakweli tunaandika vizuri kama hivi, kumbuka msisitizo enzi hizo ilikuwa k k k
Hakuna aliyekuwa amefaulu kwenda form 1 hajui kuandika kusoma na kuhesabu,siku hizi wapo wengi tu hata kama alichangia kuyumbisha elimu!Kama wewe unajiita wa Mungai basi hauna tofauti na hao wa Mulugo!!!! Mungai ndio chimbuko la kudumaza elimu tanzania ; nadhani alikuwa anafanya hivyo kwa manufaa ya kwao Kenya!!!!
hizo XXX ndo nini au zina maana nini? me navyo jua nikiona hiyo najua ni ......................!!!!!
Heaven on Earth Utingo na wote mnaopinga vijimeseji vya vijana (xaxa cmu etc) mnanidai vinywaji na heshima kubwa kwenu! kuna wadogo zangu nimewaelimisha hawajaelewa siku hizi wakiandika meseji sijibu wananiona ninadharau! I hate that!