Wanaume maskini wana masimango waogope kama ukomaMaskini wakubwa nyie
Eti ukampikieGirls, wala type hii isiwababaishe.
Hii ni dizain iliyoshindikana kwao kwa kuwa lele mama sasa muendelee na malezi wakati hata uchumba hamjaunusa.
Msikubali. There are good decent men out there who are looking for love, not househelps. Take your time, focus on your careers na mjitunze. They will find you.
Dah! hii statement kali.Maana makuku ya kisasa ukitaka kuyafuga basi ujipange kweli kweli kuanzia mtaji wa kipesa hadi muda wa kuyahudumia!
Ndo nyie sasa
Upinde mgongo ufue, udeki na upike akija ale ashibe akupande.Eti ukampikie
hahaha wanawake wanahitji matunzo ...kamuulize Dallas " "yaliyomkutaMkuu tafuta hela acha kulialia . Ukiwa na pesa hvyo ni vitu vya kawaida . Wanawake wa nahitaji matunzo .