Ujumbe wa kamanda Mbowe kwa watanzania kuhusu mauwaji ya kinyama ya Mwangosi

Mzito Kabwela

JF-Expert Member
Nov 28, 2009
18,857
7,615
katiba yetu hii mbovu tuliyonayo inasema wazi,

"Uhuru wa Maoni, Sheria ya 2005 Na. 1 ibala ya 5 inasema"

Kila mtu
(a)anao uhuru wa kuwa na maoni na kueleza fikra zake;

(b)anayo haki ya kutafuta, kupokea na kutoa habari bila ya kujali mipaka ya nchi;

(c)anao uhuru wa kufanya mawasiliano na haki ya kutoingiliwa katika mawasiliano yake; na

(d)anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi na pia kuhusu masuala muhimu kwa jamii.

Ndg zangu watanzania sheria hii iko wazi kuhusu uhuru wa mtu kufanya kile kilichosemwa kwenye katiba bila kuingiliwa, Nimesikitishwa sana tena sana kwa mauaji wanayoendelea kuyafanya kwa wananchi wa Tanzania wasio na chembe ya hatia, kifo cha Mwandishi Daud Mwangosi kinawaeleza wazi dhamira ya serikali kwa wananchi wake kuwa nikuwauawa wote kama siyo kuwauza.

Napenda kuchukua nafasi kutoa salamu zangu za rambirambi kwa familia, ndugu na marafiki wa marehemu kwa kupotelewa na mpendwa wao aliyekuwa akitafuta haki ya kupata habari, nasema nipo nao katika kipindi hiki kigumu cha majonzi damu yake iwe chachu ya kupinga uonevu na ukandamizaji wa haki za Watanzani unaoongozwa na serikali ya CCM kwa kulitumia jeshi la polisi

 
Ccm wana jakaya mrisho kikwete chadema wanamwenyekiti!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
asante kwa taarifa, walaaniwe wote watumiao nguvu kukundamiza wapinzani nchini.
 
Hivyo vifungu ni kuvihifadhi ili kuwapandisha mahala panapo staili kwa kuwa wanavikiuka makusudi wapuuzi hawa kwa kuwa mwaga utumbo nje raia wema
 
katiba yetu hii mbovu tuliyonayo inasema wazi,

"Uhuru wa Maoni, Sheria ya 2005 Na. 1 ibala ya 5 inasema"

Kila mtu
(a)anao uhuru wa kuwa na maoni na kueleza fikra zake;

(b)anayo haki ya kutafuta, kupokea na kutoa habari bila ya kujali mipaka ya nchi;

(c)anao uhuru wa kufanya mawasiliano na haki ya kutoingiliwa katika mawasiliano yake; na

(d)anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi na pia kuhusu masuala muhimu kwa jamii.

Ndg zangu watanzania sheria hii iko wazi kuhusu uhuru wa mtu kufanya kile kilichosemwa kwenye katiba bila kuingiliwa, Nimesikitishwa sana tena sana kwa mauaji wanayoendelea kuyafanya kwa wananchi wa Tanzania wasio na chembe ya hatia, kifo cha Mwandishi Daud Mwangosi kinawaeleza wazi dhamira ya serikali kwa wananchi wake kuwa nikuwauawa wote kama siyo kuwauza.

Napenda kuchukua nafasi kutoa salamu zangu za rambirambi kwa familia, ndugu na marafiki wa marehemu kwa kupotelewa na mpendwa wao aliyekuwa akitafuta haki ya kupata habari,
nasema nipo nao katika kipindi hiki kigumu cha majonzi damu yake iwe chachu ya kupinga uonevu na ukandamizaji wa haki za Watanzani unaoongozwa na serikali ya CCM kwa kulitumia jeshi la polisi

Mmmmmmhhhhhh........zile kauli zinazotolewa kwenye mikutano kwa nguvu.......Hakuna kulala mpaka kieleweke ndo ingekuwa mahali pake hapa.....ila kwa hiyo red kazi ni tete sana!!!!!

Watanzania wenzangu siungi mkono mauaji ya kinyama kama haya ila kwa reaction ya chama na viongozi kwa matukio ya Moro na hili imefikia kipindi sasa kwa wapenda siasa mjiulize mara mbilimbili uzito mnaopewa na vyama vyenu na uzito mnaovipa vyama hivyo hivyo.

Naumia kuona ambavyo wananchi hujitoa kwa hali na mali ku support vyama ila linapokuja suala la wananchi wa kawaida kutaka nguvu ya chama mambo huwa tofauti sana na matarajio haswa yangu.....the reception is too cold.....!!!!!! Hivyo vipengele vipo na vinajulikana........chama kinavitumiaje kwa sakata kama hili????? Yeye kama mwenyekiti msimamo wake ukoje mbona Alhamisi huwa anauliza burning issues kwa expected tone???? Mustakabali wa familia unakuwa wapi?????.......hizi premises zinapelekea kwenye dhana kuwa mwananchi ni mtaji wa chama kwa manufaa ya "wenye nacho.........."

Huwa najiuliza swali moja; Hivi vitendo kama hivi vingetokea kwa mmoja wa viongozi (top ranks).....could the reactions be the same???? Same statements would come out......from a distance.......??????
This is why I never support political movements.....as they are class based.....double standard......segregative.....few to mention!!!!!

My advice to my critical and matured country men......political activities are to be taken with great precautions and with a conscious mind...because when there is a congregation only minds of the few will dominate the conscious being of the majority.......only to come and realize when it is either late or too late that the destination is not commonly shared

We should critically participate in politics but we should never love political parties.......never be followers and funs of political leaders.......we should love our freedom, our humanity, dignity and unity, the human race should be our bond.....and this is when we can move forward and face the common enemy....these very political parties

A ghost is a ghost but a slight difference on the intensity of the effect upon the victimized body......!!!!!!!!
 
katiba yetu hii mbovu tuliyonayo inasema wazi,

"Uhuru wa Maoni, Sheria ya 2005 Na. 1 ibala ya 5 inasema"

Kila mtu
(a)anao uhuru wa kuwa na maoni na kueleza fikra zake;

(b)anayo haki ya kutafuta, kupokea na kutoa habari bila ya kujali mipaka ya nchi;

(c)anao uhuru wa kufanya mawasiliano na haki ya kutoingiliwa katika mawasiliano yake; na

(d)anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi na pia kuhusu masuala muhimu kwa jamii.

Ndg zangu watanzania sheria hii iko wazi kuhusu uhuru wa mtu kufanya kile kilichosemwa kwenye katiba bila kuingiliwa, Nimesikitishwa sana tena sana kwa mauaji wanayoendelea kuyafanya kwa wananchi wa Tanzania wasio na chembe ya hatia, kifo cha Mwandishi Daud Mwangosi kinawaeleza wazi dhamira ya serikali kwa wananchi wake kuwa nikuwauawa wote kama siyo kuwauza.

Napenda kuchukua nafasi kutoa salamu zangu za rambirambi kwa familia, ndugu na marafiki wa marehemu kwa kupotelewa na mpendwa wao aliyekuwa akitafuta haki ya kupata habari, nasema nipo nao katika kipindi hiki kigumu cha majonzi damu yake iwe chachu ya kupinga uonevu na ukandamizaji wa haki za Watanzani unaoongozwa na serikali ya CCM kwa kulitumia jeshi la polisi

Mheshimiwa atakuwa amefurahia nini kifo cha huyu Mwandishi, mbona anasema kifo hicho kiwe chachu ya kuendeleza vurugu? Kweli umaarufu unatafutwa kwa gharama yoyote. Tangu vifo vianze kutokea katika maandamamno na mikutano ya CDM mbona sijasikia viongozi wake wakiwaasa Washabiki wao kufanya maandamano yasiyo ya vurugu?. Hivi ni kweli kwamba wafuasi wa CDM huwa hawafanyi fujo zinazopeleka Polisi kutumia nguvu?
 
Yaani mpaka hivi sasa nasubiri nione statement itakayotolewa na Zitto Kabwe kuhusu haya mauaji...au bado yuko na KIKWETE ethiopia?
 
Ahsante tumekusikia, walaaniwe wote wanaotumia uhuru wa maoni kuanzisha fujo na vurugu zisizo na tija nzuri.
 
Mkuu
naomba nikukumbushe wale wabunge wa mwanza walivyokatwa mapanga, reaction ya CHADEMA ilikuwaje?
binafsi nilitegemea kuwa CHADEMA wangetoa matamko makali sana, lakini wapi.

so i think mtazamo wako waweza usiwe sahihi. Inawezekana CDM wanaona waTZ bado hawajawa tayari na matukio makubwa kama demonstration (ofcourse we all know kwamba kama ikitokea, damu zaidi itamwagika).

Mmmmmmhhhhhh........zile kauli zinazotolewa kwenye mikutano kwa nguvu.......Hakuna kulala mpaka kieleweke ndo ingekuwa mahali pake hapa.....ila kwa hiyo red kazi ni tete sana!!!!!

Watanzania wenzangu siungi mkono mauaji ya kinyama kama haya ila kwa reaction ya chama na viongozi kwa matukio ya Moro na hili imefikia kipindi sasa kwa wapenda siasa mjiulize mara mbilimbili uzito mnaopewa na vyama vyenu na uzito mnaovipa vyama hivyo hivyo.

Naumia kuona ambavyo wananchi hujitoa kwa hali na mali ku support vyama ila linapokuja suala la wananchi wa kawaida kutaka nguvu ya chama mambo huwa tofauti sana na matarajio haswa yangu.....the reception is too cold.....!!!!!! Hivyo vipengele vipo na vinajulikana........chama kinavitumiaje kwa sakata kama hili????? Yeye kama mwenyekiti msimamo wake ukoje mbona Alhamisi huwa anauliza burning issues kwa expected tone???? Mustakabali wa familia unakuwa wapi?????.......hizi premises zinapelekea kwenye dhana kuwa mwananchi ni mtaji wa chama kwa manufaa ya "wenye nacho.........."

Huwa najiuliza swali moja; Hivi vitendo kama hivi vingetokea kwa mmoja wa viongozi (top ranks).....could the reactions be the same???? Same statements would come out......from a distance.......??????
This is why I never support political movements.....as they are class based.....double standard......segregative.....few to mention!!!!!

My advice to my critical and matured country men......political activities are to be taken with great precautions and with a conscious mind...because when there is a congregation only minds of the few will dominate the conscious being of the majority.......only to come and realize when it is either late or too late that the destination is not commonly shared

We should critically participate in politics but we should never love political parties.......never be followers and funs of political leaders.......we should love our freedom, our humanity, dignity and unity, the human race should be our bond.....and this is when we can move forward and face the common enemy....these very political parties

A ghost is a ghost but a slight difference on the intensity of the effect upon the victimized body......!!!!!!!!
 
a1.jpg


NYUMBA YA MWANGOSI

a9.jpg


KAMANDA SLAA AKIWASILI MSIBANI TRM-IRINGA

a4.jpg



6.jpg



07.jpg


06.jpg


MJANE WA MAREHEMU AKIPEWA POLE

a1.jpg


MTOTO WA MAREHEMU AKIFARIJIWA NA KAMANDA SLAA
3.JPG



a7.jpg


PILIKA PILIKA MSIBANI

CIMG2728.JPG


OFISI YA DAUDI MWANGOSI ILIPO REDIO COUNTRY FM YA IRINGA

1346667662.jpg


MAREHEMU MWANGOSI
 
Mkuu
naomba nikukumbushe wale wabunge wa mwanza walivyokatwa mapanga, reaction ya CHADEMA ilikuwaje?
binafsi nilitegemea kuwa CHADEMA wangetoa matamko makali sana, lakini wapi.

so i think mtazamo wako waweza usiwe sahihi. Inawezekana CDM wanaona waTZ bado hawajawa tayari na matukio makubwa kama demonstration (ofcourse we all know kwamba kama ikitokea, damu zaidi itamwagika).

CDM pia ni Watanzania my ndugu na ukweli ni huo unaousema.......kuna watu wananakoka moto na hali hawana cha kupika wala kuchemsha......hali ya joto so hata kuota huo moto pia hauwezekani

Thus we should all think on what we want, how.....when.....through which means......who is to participate......questions of the likes

If you wanna eat a toad choose the juicy one......................................
 
Ahsante tumekusikia, walaaniwe wote wanaotumia uhuru wa maoni kuanzisha fujo na vurugu zisizo na tija nzuri.

umewahi kusikia au kuona Cdm wakiwafuata polisi kwenda kuwahutubia,acha ujinga.
 
umewahi kusikia au kuona Cdm wakiwafuata polisi kwenda kuwahutubia,acha ujinga.

Soma post yangu vizuri nilichokiandika, au unajishuku? kwani chadema huwa wanaanzisha fujo?

quote_icon.png
By zomba

Ahsante tumekusikia, walaaniwe wote wanaotumia uhuru wa maoni kuanzisha fujo na vurugu zisizo na tija nzuri.
 
Why are u interested on zito's statement on this issue? He was not there! Why should he have to coment? Do u think his statement would change peoples minds regarding the brutality of the government against innocent civilians? Jusg give ur comments and do not wait for someone outside the country to do it for u. Are u not touched by what is happening in this country??? Play your part now!!!
 
Back
Top Bottom