Haki na Uhuru wa kutoa maoni unapaswa kuheshimiwa Mtandaoni na nje ya Mtandao. Tunaoongea Mtandaoni hatupaswi kubezwa

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,502
9,282
Uhuru wa kujieleza ni Haki ya Kimsingi ya Binadamu, iliyobainishwa katika kifungu cha 19 cha Azimio la Kimataifa la Haki za Kibinadamu.

Hata hivyo, Baadhi ya Serikali na Watu binafsi katika nyadhifa za Mamlaka Duniani wanatishia uwepo wa Haki hii licha ya kwamba Uhuru wa Kujieleza hubeba aina nyingi za Uhuru wa Binadamu ikiwemo Uhuru wa Vyombo vya Habari

Ibara ya 18 (1) ya Katiba ya JMT inasema Bila ya kuathiri Sheria za Nchi, Kila Mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya Nchi, na Pia ana uhuru wa Mawasiliano yake kutoingiliwa kati.
 
Uhuru wa kujieleza ni Haki ya Kimsingi ya Binadamu, iliyobainishwa katika kifungu cha 19 cha Azimio la Kimataifa la Haki za Kibinadamu.

Hata hivyo, Baadhi ya Serikali na Watu binafsi katika nyadhifa za Mamlaka Duniani wanatishia uwepo wa Haki hii licha ya kwamba Uhuru wa Kujieleza hubeba aina nyingi za Uhuru wa Binadamu ikiwemo Uhuru wa Vyombo vya Habari

Ibara ya 18 (1) ya Katiba ya JMT inasema Bila ya kuathiri Sheria za Nchi, Kila Mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya Nchi, na Pia ana uhuru wa Mawasiliano yake kutoingiliwa kati.
Yaani Miss Zomboko unataka tumjadili Nape au Una maana nyingine? Kama ni Nape Muda huo umeshapita Bora tumjadili Suphian Kwa nini anavaa Travota wakati kuna viatu vya kisasa zaidi.
 
Back
Top Bottom