Boniface Mwabukusi. Rais na TLS ameandika kupitia ukurasa wake wa X:
"Nimemtembele Father Dr. Charles Kitima. Hakika lilikuwa shambulio baya lenye lengo la kudhulumu maisha.
Mungu ni mwema sana anaendelea vizuri.
Huu ni Ujumbe wake kwetu....
Lazima Tuwe Imara kusimamia masuala ya Msingi katika Taifa. Hatutakiwi kuogopa kulipa gharama katika kusimamia haki na Wajibu wetu kwa Taifa. Kila Mmoja atalipa gharama kwa kiasi chake na hilo lazima tuwe tayari. Tunapozungumzia mambo ya Msingi Kitaifa yanayotakiwa kurekebishwa ili uchaguzi ufanyike kwa haki tusiogope kulipa gharama.
Father Dr.Charles Kitima leo Tarehe 1 May 2025."
Soma News Alert: - Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya
"Nimemtembele Father Dr. Charles Kitima. Hakika lilikuwa shambulio baya lenye lengo la kudhulumu maisha.
Mungu ni mwema sana anaendelea vizuri.
Huu ni Ujumbe wake kwetu....
Lazima Tuwe Imara kusimamia masuala ya Msingi katika Taifa. Hatutakiwi kuogopa kulipa gharama katika kusimamia haki na Wajibu wetu kwa Taifa. Kila Mmoja atalipa gharama kwa kiasi chake na hilo lazima tuwe tayari. Tunapozungumzia mambo ya Msingi Kitaifa yanayotakiwa kurekebishwa ili uchaguzi ufanyike kwa haki tusiogope kulipa gharama.
Father Dr.Charles Kitima leo Tarehe 1 May 2025."
Soma News Alert: - Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya