KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 669
Leo katika pita pita zangu katika mitandao ya kijamii(Facebook) nikakutana na huu ujumbe kutoka kwa askofu Mwamakula ambao kwa namna moja au nyingine unafanana na ule wa Katuni ya Kipanya, binafsi nimeuona kama Fumbo. Natamani kufaham Askofu pamoja na Kipanya walimaanisha nini?? Waliotajwa ni Wakina nani? Nani anapaswa kurudisha hela za watu kwa kuwa sio mgombea tena...??
Nmeambatanisha na Jumbe zote mbili ili mwenye udavuzi wa ili adadavua
Karibuni
Nmeambatanisha na Jumbe zote mbili ili mwenye udavuzi wa ili adadavua
Karibuni