MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,107
- 4,604
Huo ujumbe ungefana zaidi kama angeutoa bila kuvuta bangi"Kama Benard Membe anaamini anakubalika kwenye nchi hii basi atoke ndani ya chama chetu akaungane na wapinzani hadharani kuliko haya anayoyafanya akiwa bado bado mwana CCM, halafu tukutane kwenye uchaguzi 2020"