Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,955
- 95,277
Mtoto aliyekulia kwenye ikulu, asiyejua adha ya kupanda daladala wala chai maharage kwa Zanzibar, asiyejua adha ya kurudishwa nyumbani sababu ya kukosa ada ya shule.
Leo hii ndiyo wa kwanza kuikosoa CCM. Inakuwaje wewe mwenzangu na mimi kajamba nani unaipaisha na kuisujudia CCM? Imekufanyia nini zaidi ya ilivyomfanyia huyu binti?
Watanzania tuamke sasa baada ya kuusoma ujumbe wa shangazi hapo chini.
In God we Trust
Leo hii ndiyo wa kwanza kuikosoa CCM. Inakuwaje wewe mwenzangu na mimi kajamba nani unaipaisha na kuisujudia CCM? Imekufanyia nini zaidi ya ilivyomfanyia huyu binti?
Watanzania tuamke sasa baada ya kuusoma ujumbe wa shangazi hapo chini.
In God we Trust