Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,486
- 21,959
Familia yenye nguvu ni nguzo thabiti ya misukosuko ya maisha. Ukivuruga familia yako, utavuruga amani yako.
Ikiwa unataka kuishi kwa amani basi weka mikakati na usimame kama kiongozi wa familia kudhibiti misukosuko yote.
Usiruhusu vijana wako wa kiume waige tabia za kike, vinginevyo wataingia kwenye ushoga na kukukosesha amani katika familia yako.
Ukiacha mabinti zako wakaiga tabia za kiume wataingia katika usagaji na kukukosesha amani katika familia yako. Hivyo wadhibiti wasiige ujinga na kukuletea misukosuko hadi ukose amani maishani mwako.
Kumbuka dunia ya sasa ni ya kidigtal, mambo ya sayansi na teknolojia yameleta mabadiliko makubwa kwa jamii zetu, hayo mabadiliko yanaweza kuleta misukosuko kwa familia yako usipokuwa makini.
Biblia inasema..... Mlee mwanao katika njia impasayo naye hataiacha hadi atakapokua mzee. - Mithali 22:6
Ubarikiwe.
Ikiwa unataka kuishi kwa amani basi weka mikakati na usimame kama kiongozi wa familia kudhibiti misukosuko yote.
Usiruhusu vijana wako wa kiume waige tabia za kike, vinginevyo wataingia kwenye ushoga na kukukosesha amani katika familia yako.
Ukiacha mabinti zako wakaiga tabia za kiume wataingia katika usagaji na kukukosesha amani katika familia yako. Hivyo wadhibiti wasiige ujinga na kukuletea misukosuko hadi ukose amani maishani mwako.
Kumbuka dunia ya sasa ni ya kidigtal, mambo ya sayansi na teknolojia yameleta mabadiliko makubwa kwa jamii zetu, hayo mabadiliko yanaweza kuleta misukosuko kwa familia yako usipokuwa makini.
Biblia inasema..... Mlee mwanao katika njia impasayo naye hataiacha hadi atakapokua mzee. - Mithali 22:6
Ubarikiwe.