Ujumbe mfupi kwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete

MZEE MSASAMBEGU

JF-Expert Member
Apr 19, 2013
2,780
2,547
Baba nimekukumbuka sana, maisha yamekuwa magumu mnoo tangu ulivyoondoka, sikuhizi hakuna ajira hata wale madaktari na walimu uliokuwaga unawaajiri moja kwa moja wamepigwa benchi.

Wanavyuo mikopo inacheleweshwa baba ukiuliza kwanini unasikia sijui wakina nani hewa wanahakikiwa, kila siku wanahakikiwa mambo hayaendi kabisa mtaani, nimekukumbuka sana.
 
Baba nimekukumbuka sana, maisha yamekuwa magumu mnoo tangu ulivyoondoka, sikuhizi hakuna ajira hata wale madaktari na walimu uliokuwaga unawaajiri moja kwa moja wamepigwa benchi.

Wanavyuo mikopo inacheleweshwa baba ukiuliza kwanini unasikia sijui wakina nani hewa wanahakikiwa, kila siku wanahakikiwa mambo hayaendi kabisa mtaani, nimekukumbuka sana.
 
Baba nimekukumbuka sana, maisha yamekuwa magumu mnoo tangu ulivyoondoka, sikuhizi hakuna ajira hata wale madaktari na walimu uliokuwaga unawaajiri moja kwa moja wamepigwa benchi.

Wanavyuo mikopo inacheleweshwa baba ukiuliza kwanini unasikia sijui wakina nani hewa wanahakikiwa, kila siku wanahakikiwa mambo hayaendi kabisa mtaani, nimekukumbuka sana.
Si uhamie Msoga?
 
Baba nimekukumbuka sana, maisha yamekuwa magumu mnoo tangu ulivyoondoka, sikuhizi hakuna ajira hata wale madaktari na walimu uliokuwaga unawaajiri moja kwa moja wamepigwa benchi.

Wanavyuo mikopo inacheleweshwa baba ukiuliza kwanini unasikia sijui wakina nani hewa wanahakikiwa, kila siku wanahakikiwa mambo hayaendi kabisa mtaani, nimekukumbuka sana.
Mkumbuke na kuifilisi nchi kwa ufisadi kawaida ya mamba hukula huku akilia. Watanzania bado hatumjui adui wetu
 
Back
Top Bottom