Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,768
- 41,009
Hili Neno: Kwa watu wanaoupuuzia au kubeza sababu iliyotolewa na Ikulu juu ya kufukuzwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani Charles Kitwanga ni kuwa ama hawajui uzito wa tuhuma hizo hasa kutokana na wadhifa alionao au hili ni aina nyingine ya goli linalotengenezwa. Wizara ya mambo ya ndani ndiyo inasimamia kati ya mengi sana usalama barabarani; ajali nyingi sana za barabarani Tanzania na sehemu nyingi duniani tu zinahusishwa sana na mtu kulewa. Siyo tu barabarani hata kwenye ajali sehemu nyingine za kazi au vituko vya kumuabisha mtu na wadhifa wake vimewakuta wengi sababu ya kileo.
Rais Magufuli alichofanya - na sijui kwanini wengine hawakioni - ni kuwa amenyanyua kiwango cha uwajibikaji kwamba haiitaji hata uwe 'fisadi' kuweza kutumbuliwa chini ya uongozi wake. Kwamba, hata kulewa kazini ni sababu tosha ya wewe kutokuendelea na kazi! Hili ni gumu kwa ndugu zetu wengine kuliona.
Tutawasaidia tu.. Dakika 5, Siku 5.. Mada 5...
NB: Niliandika juu ya probation ya mawaziri miezi kadhaa nyuma na nilidokeza itakuwa ni ya muda gani... well tick tock tick tock.. hakuna aliye salama... hizi ni ZAMA MPYA! Hofu yangu ni kuwa wale ndugu zetu wapendwa wahamisha magoli watakaposa magoli uwanjani wanaweza kung'oa majani wayahamishe...
Rais Magufuli alichofanya - na sijui kwanini wengine hawakioni - ni kuwa amenyanyua kiwango cha uwajibikaji kwamba haiitaji hata uwe 'fisadi' kuweza kutumbuliwa chini ya uongozi wake. Kwamba, hata kulewa kazini ni sababu tosha ya wewe kutokuendelea na kazi! Hili ni gumu kwa ndugu zetu wengine kuliona.
Tutawasaidia tu.. Dakika 5, Siku 5.. Mada 5...
NB: Niliandika juu ya probation ya mawaziri miezi kadhaa nyuma na nilidokeza itakuwa ni ya muda gani... well tick tock tick tock.. hakuna aliye salama... hizi ni ZAMA MPYA! Hofu yangu ni kuwa wale ndugu zetu wapendwa wahamisha magoli watakaposa magoli uwanjani wanaweza kung'oa majani wayahamishe...