MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,923
Ndugu zangu,
Mwanamziki wa kizazi kipya wakuitwa ROSA LEE ametoa wimbo mpya unaojulikana kama "I AM NOT FINE" ...Ndani ya wimbo huo ...Mimi nimependea mistari ifuatayo ambayo kiukweli ni ujumbe unaosikitisha sana.
Anasema:-
"Na dunia imechange muelekeo wake
Unakuta Bwanaako nae ana Bwanaake
Dah! Kudadaake!
Mungu atusamehe sana sisi waja wake"
Oya, kuleni chuma hicho!!!!!
Mwanamziki wa kizazi kipya wakuitwa ROSA LEE ametoa wimbo mpya unaojulikana kama "I AM NOT FINE" ...Ndani ya wimbo huo ...Mimi nimependea mistari ifuatayo ambayo kiukweli ni ujumbe unaosikitisha sana.
Anasema:-
"Na dunia imechange muelekeo wake
Unakuta Bwanaako nae ana Bwanaake
Dah! Kudadaake!
Mungu atusamehe sana sisi waja wake"
Oya, kuleni chuma hicho!!!!!