Ujumbe kwenye Signature ndani ya MMU

Ujumbe kwenye Signature ndani ya MMU

mie hata siwelew.....................
kichwa kimekuwa kama mtaa ulokosa balozi

Mwalimu na mpenzi wangu, hebu nambie huu mpasho hapa chini ilikuwa kwenye kitchen party ya nani?

  • "kama ya kwangu itakuongezea ushindi japo kidunchu basi njoo uichukue, tena uifwate nyumbani"


 
Wecha we

Kizungu umejifunzia wapi
We si ulitoroka Engish Course pale Magomeni Mapipa intaneshno koleji?

Wife bhana... najua tu ulitaka nikusome. Mwanamke una wivu Michelle Obama kasingiziwa..... khaa!!


  • "whoever wins the war gets to write the history"


 
Hahaha

Si unajua abiria chunga mzigo wako....

Nisipojipitisha pitisha utaniona saa ngapi na kutwa wajukuu wamepanga foleni wakitaka uwakague???

Nimefurahi kuona mwandiko wako...


We si ulitoroka Engish Course pale Magomeni Mapipa intaneshno koleji?

Wife bhana... najua tu ulitaka nikusome. Mwanamke una wivu Michelle Obama kasingiziwa..... khaa!!


  • "whoever wins the war gets to write the history"


 
Hahaha

Si unajua abiria chunga mzigo wako....

Nisipojipitisha pitisha utaniona saa ngapi na kutwa wajukuu wamepanga foleni wakitaka uwakague???

Nimefurahi kuona mwandiko wako...
Wewe nawwweee.... wale wanatuma messseji, mahera unahesabu wewe bhana..

Mi nimefurahi kuliona tabasamu lako.
 
Mwalimu na mpenzi wangu, hebu nambie huu mpasho hapa chini ilikuwa kwenye kitchen party ya nani?

  • "kama ya kwangu itakuongezea ushindi japo kidunchu basi njoo uichukue, tena uifwate nyumbani"




usiseme sina mbio Asprin sema sijakimbizwa.
hapa nataka wagombea waje waichukue kura yangu home vinginevyo hawaipati
 
Last edited by a moderator:
'In order to live life, you must earn one'

'You can fool a Fool that you're smart, or he can be smart enough to fool you into thinking he's a Fool'
 
Back
Top Bottom