Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,190
- 34,526
Usiogope huwa sina haraka. Halafu :tape:
Aka staki mie
Usiogope huwa sina haraka. Halafu :tape:
Aka staki mie
Mbona umepiga block jumbe!
tuliongelea kuhusu fanta na serenget ipi ina sukari nyingiNilielewa kipi ni kipi maelezo yamekuwa marefu mpaka hata nimesahau tuliongelea nini? Ngoja niamke kwanza na beer baridi.
tuliongelea kuhusu fanta na serenget ipi ina sukari nyingi
Aibu naona mie 😛😛
Tatizo gani?
La kupata a real man? au unamuhitaji wa hivyo? maana umeupenda ujumbe wa Evelyn Salt.
Tayari ninae na ana sifa hizo thats why nikaupenda.
Aibu naona mie 😛😛
The best way to predict the future is to create it !
Umeshafuta ile ya "Mwanaume pesa" ?
Mwanaume pesa ufundi peleka veta
Mwanaume pesa ufundi peleka veta
Hio hapo?