Ujumbe kwenye Signature ndani ya MMU

Ujumbe kwenye Signature ndani ya MMU

Sibonike

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2010
Posts
17,297
Reaction score
18,047
Nimekuwa nikiangalia Avatar na Signature kila nisomapo post ya mtu yeyote ndani JF. Nimechukua Signature ishirini kama mfano bila kufuata mpangilio wowote ndani ya MMU lakini nikazipanga kwenye alphabetical order.

Je kuna ujumbe wowote au dalili yoyote ya kuonyesha mhusika ni mtu aina gani kwenye Avatar na hasa Signature yake?


Bulldog - Be The Change You Want To See In The World.

Dinazarde - Nipendwe na kila mtu nimekua pesa mie!!!!??????

Evelyn Salt -"It takes a real man to make a woman satisfied......."

Excel - '.Poverty is the parent of revolution and crime..' Aristotle.

gorgeousmimi - Everything happens for a reason.....

ICHANA - .........Ni vigumu kujua funguo kama hujui aina ya kufuli.......

Jerrymalisa - Let LOVE lead...

kabanga - ''Hakuna Baba Mwenye Gari, kuna Baba mwenye Nyumba tu....!''

Khantwe - A clear rejection is always better than a fake promise.

Kongosho - Dont study me, you won't graduate!!!

Ligogoma - One reason the dog has so many friends, he wags his tail instead of his tongue!

matumbo - Ngumi Nauza Bure....

mikatabafeki - when love goes wrong,nothing goes right.

Mr. Wise - "If you can't fly, then run, If you can't run, then walk, If you can't walk, then crawl, But whatever you do, you have to keep moving forward" --Dr. Martin Luther King Jr

namanyele - "NOTHING IS STRONG THAN LOVE"

Nduka - I am super bad

RRONDO - kumiliki bucha sio sababu ya kula nyama kila siku.....

SHIEKA - A strong kite flies smoothly AGAINST the wind, NOT WITH IT. ---Winston Churchill

sonnita - YOUR BELIEFS DOESNT MAKE YOU A BETTERPERSON,YOUR BEHAVIOUR DOES

Tized - ''Happiness doesn't result from what we GET, but from what we GIVE'' Dr. Ben Carson
 
unapotea, bill gates ni zaidi ya graduates na wala hakwenda harvard kufuata vyeti, usipotoke.

Labda lugha imenipiga chenga mkuu. Hayo uliyosema hasa ndio maana yangu. Kwamba kuelimika si lazima kupata cheti. Cheti si tiketi ya mafanikio katika maisha japo kinaweza kusaidia.
 
mie hata siwelew.....................
kichwa kimekuwa kama mtaa ulokosa balozi
 
Mi nimeipenda hii...


  • Allah said: Fear not, Indeed, I am with you both; I hear and I see
    surat Taha; verse 46




Hii pia nzuri:

...Shimo La Panya Halizibwi Kwa Mkate.....
 
Back
Top Bottom